WATAALAMU WATAKIWA KUTEKELEZA SERA YA MAZINGIRA
******** PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS ********
Serikali imewataka wataalamu kutoka wizara za kisekta kutekeleza Sera ya Taifa ya Mazingira ya mwaka 2021...
WIZARA YA MAJI YAUNGANA NA DAWASA CHANGAMOTO YA HUDUMA DAR
Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso (Mb) ametembelea eneo la matengenezo ya bomba kubwa la inch 72 katika kata ya Wazo, Jijini Dar es...
KOREA YAIPATIA TANZANIA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 310
Serikali ya Jamhuri ya Korea imeipatia Tanzania mkopo wa gharama nafuu wa shilingi bilioni 310 kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa utambuzi wa...
WASHIRIKI WA MISS & MR VIZIWI WAANZA MCHAKATO WA MCHUJO
Na. Khadija Seif
Zikiwa zimebaki siku chache kufanyika kwa shindano la dunia la utanashati,urembo na mitindo kwa viziwi mshiriki wa Tanzania aeleza maandalizi yake ya...
NGUMI ZIPO MABIBO NA MAZENSE, TEMEKE WABAKI NA UKONGWE
Bondia wa Ngumi za Kulipwa Jackson Malinyingi amemjibu Mpinzani wake Peter Toshi wa Temeke akiahidi kumpiga kama Begi kwenye Pambano la Dar Boxing Derby litakalopigwa...
IDADI YA VIFO VITOKANAVYO NA MATUMIZI YA KEMIKALI YAFIKIA MILIONI 2
Na Magrethy Katengu
Imeelezwa kuwa idadi ya vifo vitokananvyo na matumizi ya kemikali imeongezeka hadi kufikia milioni mbili kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa 2019 na...
KAMPUNI YA WESE YAJA NA SULUHISHO LA MTAJI KWA VIJANA WA BODABODA NA BAJAJI
Na Magrethy Katengu
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam Godwin Gondwe amewashauri vijana kuachana na kuwa tegemezi huku wakijilamu hawana mitaji wajichanye...










