RAIS SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA UDAKTARI
Na Mercy Maimu
Rais wa Tanzania, SAMIA SULUHU HASSAN ametunukiwa udaktari wa heshima (PhD) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Samia ametunukiwa udaktari huo leo...
BINGWA FESTIVAL KUFAIDISHA MOJA KWA MOJA WANAFUNZI WA VYUO
Na Magreth Mbinga
Tamasha la Bingwa festival ni Maalum kwaajili ya kuleta burudani ya kusherehekea na kuangalia mechi za kombe la dunia ambalo limeandaliwa na...
SWAHILI FASHION KUMFUNGULIA NJIA MUITALIANO GUIA
MBUNIFU wa Mavazi nchi ya Tanzania mwenye asili ya kitariano Guia martinotti amesema ataendelea kufanya kazi za kibunifu nchini Tanzania kutokana na tasnia hiyo...
SWAHILI FASHION KUMFUNGULIA NJIA MUITALIANO GUIA
MBUNIFU wa Mavazi nchi ya Tanzania mwenye asili ya kitariano Guia martinotti amesema ataendelea kufanya kazi za kibunifu nchini Tanzania kutokana na tasnia hiyo...
DKT. NDUMBARO AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO JUMUISHI TAASISI ZA KISHERIA
❖ Ujenzi kugharimu shilingi bilioni 3.8, kukamilika ndani ya miezi 18
❖ Yasogeza huduma za kisheria na utoaji haki karibu na wananchi
Na Mwandishi wetu, OWMS,...
TANZANIA -UK KUIMARISHA BIASHARA
Na Mercy Maim
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Ally Gugu
Kampuni na wafanyabiashara wakubwa 30 kutoka Uingereza wapo nchini kushiriki kongamano la...
WAZIRI MCHENGERWA AIPONGEZA TIGO , WASHINDI WA WAKISHUA WAKIENDA QATAR
Waziri wa Sanaa , Utamaduni na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akikabidhi bendera ya Tanzania kwa baadhi ya washindi wa promosheni ya WAKISHUA TWENZETU QATAR...
WAZIRI MKUU ATAKA UMAKINI MANUNUZI YA VIFAA VYA UJENZI WA MIRADI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri nchini kuongeza umakini katika manunuzi ya vifaa vinavyotumika katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao ili...
DAWASA WAHIMIZWA KUENDELEA KUTAFUTA VYANZO VYA MAJI NA KUVIINGIZA KWENYE MFUMO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) kuendelea kutafuta vyanzo vipya vya maji na kuviingiza...
MAVUNDE: TUMIENI TAKWIMU KUBORESHA KILIMO Na:Saidi Ibada, Singida
Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amezitaka taasisi zinazojishughulisha na kilimo kutumia takwimu kutoka Shirika la Takwimu nchini (NBS) ili kuboresha sera kwa lengo...












