WIZARA YA MAJI NA AFYA KUSHIRIKIANA KUEPUSHA CHANGAMOTO YA MAJI HOSPITALI YA MUHIMBILI
Dar es Salaam, 06 Novemba 2022
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso leo ametembelea hospitali ya Taifa Muhimbili kuhakikisha huduma za maji ndani ya hospitali...
MAJALIWA AWASILI KAGERA, ASHUHUDIA ZOEZI LA UOKOAJI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumapili Novemba 6, 2022 amewasili Mkoani Kagera, na kushuhudia zoezi la uokoaji linaloendelea kufuatia ndege ya Precision Air kupata...
ELLEN SINGERS YAENDA KUONGEZA MAARIFA KWA JAMII, YAGAWA VITABU
Na Magreth Mbinga
Vijana wamepewa wito wa kufanya mazoezi kwaajili ya kujenga afya ya mwili na akili ili kujenga taifa la watu wenye maendeleo na...
WAZIRI MKENDA NA NAIBU WAZIRI KUNDO WAZINDUA KAMPUNI YA WAZOHURU MEDIA GROUP LIMITED//WASISITIZA KUWAUNGA...
Na Innocent Natai, Dodoma
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda (Mb) amewataka vijana wa kitanzania kujenga utamaduni wa kujiajiri na kuwa...
UCHUMI WA ZANZIBAR UNAENDELEA KUKUA-DKT.MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Uchumi wa Zanzibar umeendelea kukua,mbali na changamoto mbalimbali zinazoikabili Dunia.
Dk.Mwinyi amesema...








