WAZIRI MKUU AZIPA MAAGIZO HALMASHAURI USIMAMIZI WA MIRADI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri zote nchini kuongeza nguvu ya kusimamia miradi mingine ya maendeleo baada ya kutekeleza kwa mafanikio miradi ya mpango...
MHE. KATAMBI : ENDELEENI KUCHANGIA MFUKO WA UDHAMINI WA KUDHIBITI UKIMWI
NA.MWANDISHI WETUNaibu Waziri Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe. Patrobas Katambi ameiasa jamii na wadau kuendelea kuchangia fedha...
MAJALIWA: TUMIENI MAPATO YA NDANI KUTEKELEZA MIRADI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri nchini kutumia fedha za makusanyo ya ndani katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo badala ya kusubiri fedha kutoka...
NAIBU WAZIRI AMPA SIKU 21 MKURUGENZI MUSOMA VIJIJINI KUMALIZA UJENZI SHULE MPYA.
Naibu Waziri ofisi ya Rais TAMISEM David Silinde amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Musoma Vijijini mkoa wa Mara Msongela Palela kuhakikisha mpaka ifikapo mwisho...
WATUMISHI BRELA WAHIMIZWA KUZINGATIA MAADILI
Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wametakiwa kuzingatia mafunzo ya maadili ya Utumishi wa Umma kwani yanawezesha watumishi kujisahisha pale...








