I&M BENKI YAWAKUTANISHA WATEJA WAKE NA BODI YA WAKURUGENZI
Na Mwandishi Wetu
Siku ya Alhamisi 27 Oktoba 2022, Benki ya I&M Tanzania hivi karibuni imefanya hafla ya chakula cha jioni na wateja wake iliyofuatiwa...
WATUMISHI WALIOONESHA UDHAIFU KATIKA USIMAMIZI WA MANUNUZI NA MIKATABA KUCHUKULIWA HATUA KALI
OR TAMISEMI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki amesema Ofisi ya Rais TAMISEMI itaendelea kuwachukulia...
RAIS CHAKWERA WA MALAWI AWAPA KONGOLE LUGALO GOFU
Rais wa Malawi Mheshimiwa Lazarus Chakwera ameishukuru Tanzania kupitia Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jacob Mkunda kwa ushirikiano inaouonyesha kwa nchi hiyo na...
SERIKALI YABAINISHA MIKAKATI YAKE KATIKA KUSIMAMIA UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA.
Na. WAF- DODOMA
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imebainisha mikakati inayoendelea kuchukua katika kuhakikisha upatikanaji wa huduma za dawa, vifaa na vifaa tiba unakuwepo ili...
SHAKA: RAIS SAMIA AMEFUNGUA MATUMAINI MAPYA, FURAHA KWA WATANZANIA
Dar es Salaam
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Itikadi na Uenezi Ndg.Shaka Hamdu Shaka amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa...
MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA YANACHANGIA VIFO Mil. 41
Na. WAF - Mwanza
Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) za mwaka 2016 zinaonesha kuwa Magonjwa Yasiyoambukiza yanachangia zaidi vifo Mil. 41 ambayo ni...
CRDB TAIFA CUP YAANZA KURINDIMA TANGA
Na. BONIFACE GIDEON, TANGA
Mashindano ya Basketball Nchini yanayodhaminiwa na Benki ya CRDB (CRDB TAIFA CUP) yamezinduliwa Jana na Novemba 4 na Mkuu wa Mkoa...
KATA YA MIKOCHENI YAFANYA UZINDUZI WA MADHIMISHO YA WIKI YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA
Na Magreth Mbinga
Kata ya Mikocheni leo Novemba 5,2022 imezindua wiki ya maadhimisho ya magonjwa yasiyoambukiza Nchini Tanzania ambayo yanaenda sanjari na upimaji wa afya...











