TANZANIA -UK KUIMARISHA BIASHARA
Na Mercy Maim
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Ally Gugu
Kampuni na wafanyabiashara wakubwa 30 kutoka Uingereza wapo nchini kushiriki kongamano la...
WAZIRI MCHENGERWA AIPONGEZA TIGO , WASHINDI WA WAKISHUA WAKIENDA QATAR
Waziri wa Sanaa , Utamaduni na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa akikabidhi bendera ya Tanzania kwa baadhi ya washindi wa promosheni ya WAKISHUA TWENZETU QATAR...
WAZIRI MKUU ATAKA UMAKINI MANUNUZI YA VIFAA VYA UJENZI WA MIRADI
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri nchini kuongeza umakini katika manunuzi ya vifaa vinavyotumika katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika maeneo yao ili...
DAWASA WAHIMIZWA KUENDELEA KUTAFUTA VYANZO VYA MAJI NA KUVIINGIZA KWENYE MFUMO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) kuendelea kutafuta vyanzo vipya vya maji na kuviingiza...
MAVUNDE: TUMIENI TAKWIMU KUBORESHA KILIMO Na:Saidi Ibada, Singida
Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amezitaka taasisi zinazojishughulisha na kilimo kutumia takwimu kutoka Shirika la Takwimu nchini (NBS) ili kuboresha sera kwa lengo...
TAMWA YATOA TAMKO KATIKA KUADHIMISHA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KINGONO
Na Magreth Mbinga
TAMWA ilibaini kuwa tatizo kubwa la rushwa ya ngono na unyanyasaji wa kingono mahala pa kazi na katika elimu ya vyuo vikuu...
RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA UWT ATAKA MSHIKAMANO
Na Mercy Maimu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN, ameutaka Umoja wa...
MAJALIWA: UWEKEZAJI NCHINI HAUTAKWAMA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono wawekezaji ili kuhakikisha uwekezaji...











