MRADI WA TIGO eSchools WAIFIKIA BENJAMIN MKAPA SEKONDARI
Viongozi mbalimbali kutoka kampuni ya Tigo akiwemo Afisa Mtendaji Mkuu Bwn. Kamal Okba , katika picha ya pamoja na Uongozi wa Shule ya Sekondari BENJAMIN...
MKURUGENZI MTENDAJI WA Lg Global AKUTANA NA WAZIRI MKUU MAJALIWA , WAPONGEZWA KWA KUKUZA...
>Mkurugenzi Mtendaji wa LG Global Asema Soko la Afrika Mashariki Linakua , Afanya ziara ya kipekee Afrika Mashariki tangu kuteuliwa kwake Disemba mwaka 2021 . Aomba...
BRELA YAKUTANA NA WADAU WA VYOMBO VYA UCHUNGUZI
Wadau wa Vyombo vya Uchunguzi kutoka Taasisi za Serikali wameshiriki mafunzo ya siku moja kuhusu Utekelezaji wa Kanuni za Wamiliki Manufaa.
Mkurugenzi wa Leseni kutoka...
SERIKALI YAJIDHATITI KUTOKOMEZA MAAMBUKIZO MAPYA YA VVU
NA. MWANDISHI WETU
Serikali imedhamiria kutokomeza maambukizi mapya ya Virusi vya UKIMWI nchini kwa kuweka mikakati madhubuti ili kufikia malengo hayo ifikapo 2030.
Hayo yamesemwa na...
WANANCHI WAFURIKA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU KUPATA ELIMU YA SEKTA YA HIFADHI...
Na: Mwandishi Wetu – MWANZA
Wakazi wa mkoani Mwanza na maeneo ya jirani ya mkoa huo wamejitokeza kwa wingi kupata elimu ya Sekta ya Hifadhi...
BENKI YA CHINA DASHENG YAZINDUA TAWI LAKE JIPYA KARIAKOO JIJINI DAR ES SALAAM
Na Magrethy Katengu.Uwekezaji wa huduma za kifedha wazidi kuongezeka nchini Tanzania kwani leo Benki ya China Dasheng imefungua tawi lake jipya la pili Kariakoo...
JAMBAZI SUGU AKAMATWA DAR ES SALAAM, ATUMIA MAJINA TOFAUTI
Na Magreth Mbinga
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lilifanikiwa kumkamata mtuhumiwa sugu anaefahamika kwa jina la Johnson Omary Mchome anaekadiriwa kuwa...










