MAJALIWA: MRADI WA SGR UTAKAMILIKA KAMA ULIVYOPANGWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali itaendelea kuhakikisha mradi huo...
NCHI ZA AFRIKA ZAHAMASISHWA KUTUMIA LUGHA YA KISWAHILI ILI KUONDOA CHANGAMOTO YA LUGHA KATIKA...
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amezihamasisha nchi za Afrika kutumia lugha ya kiswahili ili kuondoa changamoto ya lugha...
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA KONGAMANO LA 8 LA MAENDELEO ENDELEVU
Na Mercy Maimu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa viongozi, wataalamu na wawekezaji kujadili kwa...
MIKAKATI YA KUKABILIANA NA TATIZO LA UMEME YAANIKWA
Na. Magreth Mbinga
Shirika la Umeme Tanzania TANESCO limesema kuwa sababu zinazochangia kupungua kwa kiwango cha umeme ni ukame ambao umepunguza kina cha maji kwenye...
KONGAMANO LA TAASISI YA IET KUFANYIKA DISEMBA 1 HADI 3 AICC
Na. Magreth Mbinga
Chama cha Wahandisi Tanzania(IET) kimeandaa kungamano la 13 la Kimataifa na Mkutano wa mwaka wa wanachama ambapo unatarajiwa kuhudhuriwa na wadau mbalimbali.
Taarifa...
WAZIRI WA ELIMU SANYANSI NA TEKNOLOJIA PROF ADOLF MKENDA ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KONGAMANO...
Na Magrethy Katengu
Bodi ya huduma za maktaba Tanzania(TLSB) imetoa wito kwa waandishi na wachapishaji wa majarida na vitabu kufuata sheria na taratibu zilizowekea ikiwemo...
MHANDISI MANYANYA AIMWAGIA SIFA RUWASA
Mbunge wa Jimbo la Nyasa Mkoani Ruvuma Meshimiwa Mhandisi Stella Manyanya aimeisifia RUWASA kwakutatua kero za uhaba wa maji jimboni Nyasa na maeneo mengi...










