Friday, June 26, 2026
Home 2022 November 4

Daily Archives: November 4, 2022

TAMASHA LA MUZIKI WA ACCESS AFRIKA

0
Na Mercy Maimu Katika kuelekea maazimisho ya Mkutano wa Muziki wa Access ulioandaliwa na Taasisi ya Music Africa utakaofanyika Novemba 24 -26,2022 Katibu Mkuu wa...

NAIBU WAZIRI MAVUNDE AZINDUA UJENZI WA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI KWENYE MASHAMBA YA MBEGU YA...

0
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. Anthony Mavunde amezindua rasmi ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji katika mashamba ya uzalishaji mbegu yaliyo chini ya Wakala wa...

-WAZIRI MKUU AZINDUA UGAWAJI WA VISHIKWAMBI KWA SEKTA YA ELIMU-

0
Asisitiza vitumike katika kuinua ubora wa elimu nchini na si vinginevyo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Ijumaa Novemba 4, 2022 amezindua ugawaji wa vishikwambi katika...

WAZIRI MKUU AZINDUA UGAWAJI WA VISHIKWAMBI KWA SEKTA YA ELIMU

0
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa leo Ijumaa Novemba 4, 2022 amezindua ugawaji wa vishikwambi katika sekta ya elimu na amesisitiza kwamba vifaa hivyo vitumike katika...

UFUATILIAJI FEDHA ZA MIRADI

0
Na Mercy Maimu Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Ilala imeendelea na utekelezaji wa majukumu yake ambapo imeweka kipaumbele katika usimamizi...

DKT.BITEKO AISISITIZA AMGC KUWEKA MKAZO KWENYE MADINI YA MKAKATI

0
#Serikali kutoa ushirikiano kuendeleza Kituo cha AMGC Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameutaka uongozi wa Kituo cha African Minerals and Geosciences Centre (AMGC) kianze...