WATUHUMIWA 24 MBARONI TUHUMA ZA UHALIFU
Na Magrethy Katengu
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemkamata Mohamed Amani (45) "kiziwi", mkazi wa Dar es Salaam na Mwanza pia...
MAJALIWA: HAKUNA MRADI UTAKAOKWAMA NCHINI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi yote ya kimkakati...
MENEJA WA TARURA WILAYA YA KILOMBERO AONDOLEWA
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff amemuondoa kwenye majukumu yake aliyekuwa Meneja wa TARURA Wilaya...
RAIS SAMIA AMKUBALI DKT. BITEKO KWENYE KUISIMAMIA SEKTA YA MADINI.
Ampa Kongole kwa kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameeleza...







