Saturday, May 2, 2026
Home 2023 August

Monthly Archives: August 2023

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAJUMBE KUTOKA UINGEREZA.

0
Na. Josephine Majura, WF, Dar es Salaam Serikali imewaalika wadau wa Sekta Binafsi kutoka Uingereza kuwekeza nchini ili kusaidia juhudi za Serikali kufikia malengo yake. Hayo...

KITAJI FC WAIPA KICHAPO CHA 4-0 IRINGO FC MASHINDANO YA MATHAYO CUP

0
Na Shomari Binda-Musoma TIMU ya Kitaji fc imeanza vyena mashindano ya Mathayo Cup baada ya kuipa kichapo cha bao 4-0 timu ya Iringo fc. Hadi kipindi...

UVCCM yapongeza serikali kuimarisha sekta ya Uwekezaji

0
Na Neema Kandoro , Mwanza UMOJA wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilaya ya Nyamagana umepongeza kwa kauli moja juhudi zinazofanywa na serikali kwenye...

SERIKALI YAWAKA WAHANDISI WASHAURI KUWAADHIBU WAKANDARASI WAZEMBE

0
Na Hamida Kamchala -PANGANI SERIKALI imeshauri kwa Wahandisi Washauri kusimamia na kufuatilia kwa ukaribu Wakandarasi wanaotekeleza miradi mikubwa ili wanapofanya kinyume na mikataba iweze kuwabana...

MAJADILIANO YA UPATIKANAJI KATIBA MPYA BADO KUFIKIA MUAFAKA

0
Na Magrethy Katengu Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damasi Ndumbalo amefungua Kikao cha Mawaziri wa Sheria na wanasheria Wakuu wa serikali Wastaafu na waliopo...

WANANCHI WAPEWA RAI KUSHIRIKI WIKI YA KITAIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI

0
Na; Mwandishi Wetu - Dodoma Wananchi wamepewa wito wa kushiriki katika wiki ya Kitaifa ya Ufuatiliaji na Tathmini itakayofanyika Jijini Arusha ambayo itahusisha kutoa elimu...

HAMISA MOBETTO NA MILLARD AYO WALIVYOGAWA MAMILIONI KWA WASHINDI WA CHA WOTE

0
Ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya chawote ya Tigo  imekabidhi washindi sita hundi ya milioni moja moja  ofisini kwao Jijini Dar es salaam " Leo...

MEYA GUMBO AFUNGUA MASHINDANO YA MATHAYO CUP 2023 KWA KUWAPA UJUMBE WACHEZAJI

0
Na Shomari Binda-Musoma MASHINDANO ya kombe la Mathayo Cup 2023 yamezinduliwa rasmi na Meya wa manispaa ya Musoma, Patrick Gumbo huku vijana wakitakiwa kuyatumia kuinua...

Polisi Mguu sawa maonesho ya Afrika Mashariki

0
Maonesho ya 18 ya Afrika Mashariki yameanza kufanyika Jijini Mwanza kuanzia Agosti 25, 2023, na kufikia tamati Septemba 3, mwaka huu kwa wafanyabiashara kuchangamkia...

DKT. NCHEMBA ATETA NA VIONGOZI WA MIKOA TANZANIA BARA

0
Na Benny Mwaipaja, Kibaha Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewataka Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa kusimamia ipasavyo shughuli za...