Wamiliki wa Magari yasiyo na bima waonywa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Wilbrod Mutafungwa amewaonya wamiliki wa vyombo vya moto wanoruhusu vyombo vyao kuingia...
WAZIRI MHAGAMA APOKEA MWONGOZO WA KITAIFA WA UFUATILIAJI NA TATHMINI KATIKA TAASISI ZA UMMA
Na; Mwandishi wetu - Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu nayeshugulika na Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Jenista Mhagama, Amepokea Rasimu ya kwanza...
MAONESHO YA MADINI YAUFUNGUA MKOA WA LINDI
#Mkoa watajwa wa Tatu kwa wingi wa Madini nchini.
Ruangwa - Lindi
Maonesho ya Kwanza ya Madini na Fursa za Uwekezaji yanayoendelea Mkoani Lindi yametajwa kuufungua...
NYIHITA, RAMA MSOMI WACHANGIA SHULE YA MSINGI KINESI “B” NA KUTOA NENO KWA WANAFUNZI
Na Shomari Binda-Rorya
MJUMBE wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi (CCM) Mkoa wa Mara, Nyihita Paul na mfanyabiashara, Rama Msomi wamechangia fedha na...
CCM YAENDELEA KUTEKELEZA AHADI YAKE VINGUNGUTI WANANCHI WASEMA RAIS DKT SAMIA SULUHU MITANO TENA
Na Magrethy Katengu
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Ilala ambaye pia ni Diwani wa Vingunguti Mhe Omary Kumbilamoto amesema Chama cha Mapinduzi CCM kitahakikisha kutekelezea...
TMA YATOA MWELEKEO MVUA ZA VULI OKTOBA HADI DISEMBA, 2023
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali...









