CHAMA CHA ACT WAZALENDO CHATOA MAONI KWA SERIKALI NAMNA YA KUKABILIANA NA UPATIKANAJI MAFUTA...
Na Magrethy Katengu
CHAMA cha ACT Wazalendo Chafafanua mambo matano ambayo Serikali inapaswa kuyachukulia hatua ili kukabiliana na changamoto za upatikanaji wa mafuta ya Petroli...
Said Selemani asomewa shtaka akiwa Hospital ya Bugando Mwanza
Said Selemani (32), mkazi wa Arusha akiwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza ya Sekou Toure, amesomewa shtaka la kumjeruhi mpenzi...
Hati miliki zapunguzwa Kwa Nusu ya gharama za awali
Na Neema Kandoro, Mwanza
SERIKALI imepunguza gharama zilizokuwa zikitumika kutoa hati miliki ya ardhi kwa mwaka 2023/24 ili kuwezesha watanzania wengi kumudu hivyo kupunguza migogoro...
ASHIKILIWA KWA KUMUUA MKE, SHEMEJI KISA WIVU WA MAPENZI
Na Boniface Gideon, TANGA
JESHİ la Polisi mkoa wa Tanga limefanikiwa kumkamata Swalehe Miraji Ally mwenye umri wa miaka 38 kwa kosa la kuwaua mke...
MANISPAA YA MUSOMA YAWATAKA WAJASIRIAMALI KUJIANDAA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10
Na Shomari Binda-Musoma
WANAWAKE, vijana na wenye ulemavu wajasiriamali wametakiwa kujiandaa na mikopo ya asilimia 10 itakayoanza kutolewa kwa utaratibu mpya.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu...



