Serikali imewahakikishia wawekezaji wote nchini kutumia fursa ya mazingira bora ya ufanyaji biashara
Waziri wa Viwanda ana Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amewakikishia wawekezaji wote nchini kutumia fursa ya mazingira mazuri ya ufanyaji biashara yaliyowekwa na...
Kigahe Aziagiza Taasisi kuwafuata wafanyabiashara na kutoa elimu kuhusu tozo
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb.) amezishauri Taasisi za Umma ziwafuate, zijifunze mazingira na changamoto za wafanyabiashara na kuwapa elimu...
Kigahe Aziagiza Taasisi kuwafuata wafanyabiashara na kutoa elimu kuhusu tozo
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb.) amezishauri Taasisi za Umma ziwafuate, zijifunze mazingira na changamoto za wafanyabiashara na kuwapa elimu...
MUHONGO ACHANGIA MIFUKO 200 YA SARUJI KUUNGA MKONO WANAKIJIJI UJENZI WA ZAHANATI
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma vijijini Prof. Sospeter Muhongo amechangia mifuko 200 ya saruji kuunga mkono wananchi wa Kijiji cha Chimati walioamua...
THAMANI YA UWEKEZAJI MFUKO WA PSSSF KUFIKIA TRILIONI 7.98-MAJALIWA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kiwango cha thamani ya uwekezaji Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) imeongezeka hadi kufikia shilingi...
BODABODA HESHIMUNI SHERIA ZA BARABARANI KUEPUKANA NA AJALI
Na Magrethy Katengu
Mkuu wa Dawati la Elimu ya Usalama Tanzania TRAFIC ACP Michael Delali amewataka wanaosafirisha abiria kwa chombo cha pikipiki kutii sheria ya...
MADAKTARI BINGWA WA MACHO KUWEKA KAMBI HOSPITAL YA MWALIMU NYERERE MUSOMA
Na Shomari Binda-Musoma
TIMU ya madaktari bingwa kutoka hospital ya kanda Bugando wanatarajiwa kuweka kambi ya kutoa huduma za kibingwa za matibabu ya macho kwenye...
VIJANA WABUNIFU WAMEIOMBA SERIKALI KUWAWEZESHA MITAJI
Vijana wabunifu wameiomba serikali kuwawezesha mitaji itakayoweza kukuza mitaji yao
hayo yamesemwa na Bwana Ramadhani Mohamed Sengerema katika Maonesho ya Nanenane yanaendelea katika Viwanja...
MHE. DKT.KIJAJI AIAGIZA MENEJIMENTI YA KIWANDA CHA SUKARI CHA MKULAZI KUKAMILISHA UJENZI WA KIWANDA...
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameiagiza menejimenti ya kiwanda cha sukari cha Mkulazi Holding Company Limited (MHCL) ambacho ni...
PROF. KITILA AWAFIDIA BODABODA WALIOUNGULIWA NA PIKIPIKI WAKATI WA AJALI
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof. Kitila Mkumbo amekabidhi pikipiki mbili kwa...












