MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI KUIBEBA SEKTA YA MADINI
Leo Agosti 30, 2023 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo amewapokea Waheshimiwa Mabalozi Wapya walioteuliwa hivi karibuni kuiwakilisha Tanzania nchini Canada, Namibia,...
MRADI WA UJENZI WA OFISI YA TMA, KANDA YA MASHARIKI NA KITUO CHA KUTOA...
Dar es Salaam;Tarehe 28 Agosti, 2022;
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Buruhani Nyenzi amekagua maendeleo ya mradi wa...
HIFADHI YA TAIFA KITULO KUTANGAZWA KITAIFA NA KIMATAIFA ILI KUVUTIA WATALII NA WAWEKEZAJI
Serikali imeendelea kujizatiti kwa kuitangaza Hifadhi ya Taifa ya Kitulo ndani na nje ya nchi lengo likiwa ni kuwavutia watalii na wawekezaji kutoka sehemu...
CCM WILAYA YA SERENGETI YAPONGEZA KAZI NZURI ZINAZOFANYWA NA MADIWANI
Na Shomari Binda-Serengeti
CHAMA cha Mapinduzi ( CCM) Wilaya ya Serengeti kimewapongeza madiwani wa halmashauri hiyo kwa kusimamia miradi ya maendeleo kwenye Kata zao.
Pongezi hizo...
GST YAKABIDHI KITABU KINACHOONESHA MADINI YAPATIKANAYO TANZANIA KWA MKOA WA DAR ES SALAAM
Kitabu kuongeza ufahamu wa Madini, chavutia Wawekezaji
Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imekabidhi Kitabu kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa...
PROF. MKENDA AZINDUA BODI YA KAMPUNI TANZU DIT, AWATAKA KUTEKELEZA HAYA
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amezitaka Taasisi za Elimu kutumia bunifu zao katika kuhakikisha zinawaingizia fedha ambazo zitasaidia kuendesha baadhi...
TPA yaibuka kidedea Maonesho ya Biashara
Na Neema Kandoro, Mwanza
MAMLAKA ya Bandari Tanzania (TPA) imeibuka kidedea kwenye maonesho ya biashara kwa nchi za Afrika Mashariki yanayofanyika Jijini Mwanza kutokana na...
DKT. YONAZI: GLOBAL FUND YAIMARISHA SEKTA YA AFYA NCHINI
NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi ameupongeza na...
DIT YAPELEKA WANAFUNZI 30 KUSOMA NCHINI CHINA
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda leo ameshiriki hafla fupi ya Kuwaaga Wanafunzi 30 wa Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam...













