WATUMISHI BRELA WAFUNDISHWA MATUMIZI SAHIHI YA TEHAMA, MAADILI
Watumishi wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wamejengewa uwezo kuhusu matumizi sahihi ya TEHAMA pamoja na Maadili kwa Watumishi wa Umma,...
SENDIGA ARIDHISHWA NA UJENZI WA MADARASA MANISPAA YA SUMBAWANGA
https://youtu.be/2ZJG_grPkV8
Na. OMM Rukwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Queen Sendiga ameridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi vyumba Hamsini (50) vya madarasa kwenye shule za...
DKT. PHILIP MPANGO AMEKEMEA VITENDO VYA UNYANYASAJI NA UKATILI KATIKA MAENEO YA KAZI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amekemea vitendo vya uonevu, unyanyasaji na ukatili katika maeneo ya kazi...
WAMILIKI WA KAMPUNI NA TAASISI BINAFSI WATAKIWA KUHAMASISHA NA KUZIPATIA OZOEFU KAMPUNI ZINAZOCHIPUKIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wamiliki wa kampuni na taasisi binafsi nchini kuhamasisha...
SERIKALI KUJA NA MAELEKEZO KUIMARISHA UTENDAJI KAZI OFISI ZA KONGA
Na Mwandishi wetu.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amesema serikali itatoa maelekezo kwa Halmashauri kuweka mipango...
BRELA YAPATA TUZO YA TPSF
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ni miongoni mwa Taasisi za Serikali zilizotambuliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) katika siku...
WAMILIKI WA LESENI ZA MADINI WATAKIWA KUWAJIBIKAJI HUDUMA KWA JAMII
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amewataka wamiliki wa leseni za madini nchini kuchangia huduma kwa jamii inayozunguka mgodi ambapo amesema Sheria ya Madini...
TIGO WATOA MILIONI 8 NA BIDHAA ZA Hisense KWA WASHINDI WA WIKI YA KWANZA...
Meneja wa Biashara Tigo Pesa Bi. Restuta Kedmond ( kushoto ) akikabidhi mfano mfano wa Hundi ya Shilingi Milioni Moja kwa baadhi ya Washindi wa...
TANESCO WAONGEZA MEGAWATTS 135 KUKABILIANA NA UPUNGUFU WA UMEME
Na Magreth Mbinga
Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Linaendelea kufanya jitihada za muda mfupi na za muda wa kati katika kukabiliana na tatizo...
ZIARA YA MTENDAJI MKUU TARURA YALETA FARAJA KWA WANANCHI- KALIUA
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff ameleta faraja kwa wakazi wa Wilaya ya Kaliua mkoani...













