Friday, June 26, 2026
Home 2022 December 15

Daily Archives: December 15, 2022

SERIKALI YATOA SHILINGI MILIONI 50 KUMALIZA UJENZI WA ZAHANATI MTUMILE

0
Na Mwandishi wetu. Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imeahidi kutoa fedha ili kumalizia ujenzi wa boma la zahanati...

DHANA YA AFYA MOJA KUSHIRIKISHA WENYE ULEMAVU

0
NA. MWANDISHI WETU Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Mission for Illiteracy and Poverty Alleviation (TAMIPA) Bw. Martin Kidudu amesema kundi la wenye ulemavu litaendelea kushirikishwa...

TAMASHA LA VIJANA WA VYUO VIKUU KUKUSANYA VIJANA TAKRIBANI ELFU 30

0
Na. Magreth Mbinga Umoja wa vijana wa vyuo vikuu Jimbo kuu la Dar es Salaam wameandaa mkesha mkubwa uliobeba jina la usiku wa sifa wenye...

SERIKALI YAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA MASHIRIKA BINAFSI

0
Na Mercy Maimu Naibu Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara amesema Serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya watu na mashirika binafsi ambayo yapo...

WAKUFUNZI NA WATENDAJI WA MASUALA YA WATU WENYE ULEMAVU WAPATIWA MAFUNZO YA STADI ZA...

0
Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kupitia Idara ya Maendeleo ya Vijana inaratibu Programu ya Stadi za Maisha (Life...

MAJALIWA: SIJARIDHISHWA NA MIRADI YA AFYA SUMBAWANGA

0
Aagiza TAKUKURU iharakishe uchunguzi wa matumizi ya fedha katika mradi hiyo WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Hospitali...

BEN POL AACHIA KIBAO CHA KUFUNGIA MWAKA 

0
MSANII nguli wa Muziki wa R&B  hapa nchini Behnam Paul maarufu kama Ben Pol ameachia kibao kipya kinachofahamika kama Nyumbani.  Katika wimbo wa Nyumbani Ben...

WADAU, WATAALAMU WA AFYA WAKUTANA KUFANYA TATHMINI PROGRAMU UTOAJI ELIMU YA AFYA.

0
Na Boniface Gideon, TANGA Wataalamu na wadau wa Afya wamekutana Jijini Tanga kwa ajili ya kutathminiprogramu ya Wadau wa utoaji wa Elimu ya Afya kwa...

WAZIRI SIMBACHAWENE AHIMIZA WANANCHI KUTUNZA MAZINGIRA

0
Na Mwandishi wetu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amehimiza wananchi kuendelea kulinda na kutunza mazingira na...

MWAROBAINI WACHEMSHWA KUDHIBITI UPANGAJI NAULI HOLELA MADEREVA TAX

0
Na Magrethy Katengu . Mamlaka ya udhibiti usafiri wa Ardhini (LATRA) imesema kabla ya kufika mwezi Juni mwaka 2023 Wanaosafirisha abiria kwa Tax tayari magari...