Mkoa wa Mwanza unahitaji sana Busara za wazee – RC Malima
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amewahakikishia wazee mkoani humo kuwa Serikali itaendelea kuboresha maisha yao kupitia huduma bora za jamii kwa...
ACT WAZALENDO WAITAKA SERIKALI KUWEKA MIKAKATI KUHAMI MAISHA YA WATU
Na Magreth Mbinga
Chama Cha ACT WAZALENDO kimesema Serikali imetekeleza baadhi ya mapendekezo ambayo waliyapendekeza ikiwemo kutoa ruzuku ya mbolea, kuondoa kodi kwenye mafuta ya...
MAJALIWA AMUWAKILISHA RAIS SAMIA KUMJULIA HALI LOWASSA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwakilisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kumjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Ngoyai Lowassa anayeendelea na matibabu Afrika ya Kusini.
Akizungumza...
MACHINGA KINONDONI; SERIKALI IINGILIE KATI WANAOJIMILIKISHA MEZA ZAIDI YA MOJA
Na Magrethy Katengu
Wafanyabiashara ndogo ndogo (MACHINGA) Wilaya ya Kinondoni waiomba Serikali kuingilia kati kitendo kinachofanywa na baadhi ya Wafanyabiashara wakubwa kuhodhi eneo zaidi ya...
MAJENGO UNITED MABINGWA MACHUPA SUPER CUP 2022
Na Boniface Gideon, TANGA
Kilele Cha Mashindano ya mpira wa Miguu Jijini Tanga Machupa supper cup yamehitimishwa Jana Disemba 27 kwa Timu ya Majengo United...








