WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI NCHINI
Awataka kwenda vijijini kuwasikiliza wananchi
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watumishi kwenye Halmashauri zote nchini kutenga muda wa siku tatu kati ya siku za kazi...
WAZIRI MCHENGERWA MGENI RASMI KILELE CHA TUZO ZA FILAMU ARUSHA
YAMEBAKI masaa machache kufikia Fainali ya Tamasha la tuzo za Filamu nchini ambapo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Utamaduni Sanaa na michezo Mohamed...
TANESCO yaendeleza jitihada kukabiliana na hali ya upungufu wa umeme nchini
Na Beatrice Sanga -MAELEZO
Desemba 16, 2022
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme kutoka wastani wa megawati 350 kwa wiki...
HALI YA UMEME INAENDELEA KUIMARIKA, TANESCO WAFANIKIWA KUPATA MEGAWATT WALIZOAHIDI
Na Magreth Mbinga
TANESCO yatoa taarifa ya kukamilika kwa mipango ya muda mfupi ambayo waliahidi hivo imewezesha kupunguza makali ya mgao wa umeme walianza na...
HATUA ZA KISHERIA ZITACHUKULIWA KWA YEYOTE ATAKAYEJARIBU KUPANDISHA BEI ZA BIDHAA KIHOLELA
Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Exaud Kigahe ametoa rai kwa Wafanyabiashara wa bidhaa mbalimbali nchini kuwa waadilifu katika kipindi hiki cha Sikukuu...
SERIKALI KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI YA UWEKEZAJI NA UFANYAJI WA BIASHARA KATIKA SEKTA YA CHAKULA...
Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amesema kuwa Wizara hiyo ni moja ya Wizara za Kisekta hapa nchini zinazotekeleza...
WATUMISHI WA UMMA WAMETAKIWA KUTAMBUA NAFASI ZAO
Na Magreth Mbinga
Watumishi wa umma wametakiwa kutambua nafasi zao sababu watu wengi wapo nje wanatamani nafasi hizo kwa kujituma kwa moyo mmoja watafanya vizuri...










