TANESCO WAONGEZA MEGAWATTS 135 KUKABILIANA NA UPUNGUFU WA UMEME
Na Magreth Mbinga
Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO), Linaendelea kufanya jitihada za muda mfupi na za muda wa kati katika kukabiliana na tatizo...
ZIARA YA MTENDAJI MKUU TARURA YALETA FARAJA KWA WANANCHI- KALIUA
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor H. Seff ameleta faraja kwa wakazi wa Wilaya ya Kaliua mkoani...
TAMASHA KUBWA LA UIMBAJI NA UPONYAJI KUBADILISHA WATU KUOKOLEWA KUTOKA VIFUNGO VYA SHETANI
Na Magrethy Katengu
Mwinjilisti wa kimataifa kutoka nchini Canada Dkt Peter Youngreen amekuja kufanya Mahubiri makubwa katika Tamasha kubwa la Uimbaji na uponyaji kuanza leo...
MABINTI ZAIDI YA 900 TANGA WANUFAIKA NA MRADI WA ELIMU BRAC TANZANIA
Na Boniface Gideon, TANGA
Zaidi ya Wasichana 900 ambao hawakufanikiwa kupata Elimu katika mfumo maalumu wa Elimu ya upili ( Sekondari) wamefanikiwa kupata Elimu hiyo...
KWA MARA YA KWANZA SERIKALI SASA KUPATA 75% YA MAPATO YA MAFUTA NA GESI
Baada ya miaka 12 Serikali ya Tanzania imesaini mkataba wa uzalishaji na ugawanaji mapato (PSA) kitalu cha RUVUMA – MTWARA.
Mkataba huu unaweka utaratibu wa...








