AFYAPLUS YATOA MASHINE ZA KUTENGENEZA TAULO ZA KIKE ZA BURE MASHULENI IRINGA
NA Matukio DaimaAPPSHIRIKA lisilo la kiserikali la afya Plus kupitia mradi wa maabara ya Hedhi salama unao lenga kuondoa vikwazo wanavyovipata binti wakati wa...
HOSPITALI NCHINI ZAANZA KUZALISHA MAZAO YA DAMU
Na. Catherine Sungura, WAF,Das es Salaama
Hospitali za Rufaa za Mikoa,Halmashauri na Taasisi za Wizara ya Afya kuanza kuzalisha mazao ya damu wakati wa uchangiaji...
TAASISI ZA SERIKALI ZATAKIWA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA UKUAJI WA VIWANDA
Watendaji wa taasisi za Serikali wametakiwa kuweka mazingira wezeshi yatakayosaidia uanzishaji wa viwanda nchini.
Wito huo umetolewa na Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda...
AZAM MEDIA WAUNGANA NA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KUHAKIKISHA WANAPATA CHUPA 5000...
Na Magreth Mbinga
Mpango wa Taifa wa Damu Salama kwa kushirikiana na Azam media kupitia redio ya U FM watahamasisha wananchi kuchangia damu kupitia sherehe...
Anayevuruga Mitihani ashitakiwe Mahakamani, Ahukumiwe na aende Jela-Waziri Mkenda.
Na Mathias Canal, WEST-Dar es salaam
Serikali imeweka bayana dhaira yake ya kuchukua hatua kali za uwajibikaji kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Walimu na...
MKUU WA WILAYA YA MUSOMA DKT. HAULE AHIMIZA UPANDAJI WA MITI
NA. MWANDISHI WETUMKUU wa Wilaya ya Musoma Dkt. Khalifan Haule amehimiza wananchi kuendelea kuwa mstari wa mbele katika upandaji wa miti ya matunda ili...
DKT INTERNATIONAL TANZANIA WAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA KUTOA ELIMU YA MATUMIZI YA...
WADAU wa Afya ya uzazi pamoja na watoaji elimu ya kujikinga na maambukizi ya ukimwi wawakumbusha watanzania kuendelea kutumia kinga ili kupunguza kasi ya...









