Kigahe azitaka Taasisi za Wizara yake Kupanga Mipango inayotekelezeka
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb.) ameiagiza Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake kuhakikisha Mipango yote inayopangwa kila mwaka inaendana...
STAMICO YAWA MKOMBOZI KWA WAZALISHAJI WA CHUMVI NCHINI
#Shamba darasa kuwafundisha wazalishaji wa chumvi Lindi na Mtwara
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeanza kushughulikia changamoto za wazalishaji wa chumvi nchini kwa...
MBUNGE MATHAYO KUTOA MBUZI 3 SETI 2 ZA JEZI KWA MASHABIKI WA SIMBA NA...
Na Shomari Binda-Musoma
MBUNGE wa jimbo la Musoma mjini, Vedastus Mathayo, ameandaa zawadi ya mbuzi 3 na seti 2 za jezi kwa mashabiki wa Simba...
MILIONEA MPYA : TIGO WALIVYOMPA MILIONI TANO MTEJA WAO, KAMPENI YA CHA WOTE
MILIONEA MPYA MJINI : Lovenes Conrad Malias Mkazi wa Mbezi Jijini Dar Es Salaam akikabidhiwa mfano wa Hundi ya MILIONI TANO na Bwn. Robert...
TBS WAENDELEA KUTOA ELIMU YA VIWANGO KWA UMMA KATIKA NGAZI YA WILAYA
Meneja Wa Uhusiano na Masoko TBS Bi. Gladnes Kaseka akitoa elimu ya Umuhimu wa Viwango kwa Wafanyabiashara wa Bidhaa za Chakula na Vipodozi Wilayani...
KINANA: UHURU WA KUSEMA UPO ILA KILA UHURU UNA MIPAKA YAKE.
Akumbusha darasa la Hayati Mwalimu Nyerere kuhusu uhuru bila ya nidhamu
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana amesema ingawa inchi ina uhuru...
STAMICO YAIELEZA KAMATI YA BUNGE LESENI INAZOMILIKI
Yaelekeza Mkakati wake wa kuendeleza Mgodi wa Makaa ya Mawe
Vituo vya Mfano Vyatajwa kuongeza tija, wataka viongezwe uwezo
Dodoma
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeieleza...
MGANGA MKUU KAGERA APONGEZA JUHUDI ZA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI KWA WATOTO
Na Theophilida Felician, Kagera
Mganga Mkuu wa Mkoa Kagera Issessanda Kaniki amewapongeza na kuwashukurua wadau mbalimbali kwanamna wanavyoendelea kutekeleza mpango jumuishi wa malezi, makuzi na...
MGAO WA MAJI WILAYA YA SERENGETI KUMALIZIKA HIVI KARIBUNI
Na Shomari Binda-Musoma
MAMLAKA ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Musoma (Muwasa) imesema mgao wa maji katikaa mji wa Mugumu wilayani Serengeti utamalizika hivi...
HUDUMA ZA TGC KIVUTIO MAONESHO YA MADINI NA UWEKEZAJI MKOANI LINDI
Ruangwa - Lindi
Wadau mbalimbali wanaoshiriki Maonesho ya Madini na Uwekezaji mkoani Lindi wamevutiwa na bidhaa zilizozalishwa na Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) katika banda...



