TRA KARIAKOO NA MABALOZI JENGO WAIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA KUTOA ELIMU YA KODI KWA WALIPAKODI
Kariakoo, 20 Agosti, 2026
β Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Kikodi Kariakoo imeimarisha ushirikiano na uongozi wa Mabalozi Jengo kwa lengo la kuwafikia...
AIRTEL AFRICA YAANDIKA HISTORIA KWA KUZINDUA INTANETI YA SATELAITI KWA SIMU DRC
Kinshasa, 17 Agosti 2026: Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua kibiashara intaneti ya satelaiti kwa...
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA WRRB, YATAKA WRS KUTUMIKA KWENYE PARACHICHI
Na.Mwandishi Wetu- Dodoma
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kwa utekelezaji...
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UTENDAJI WA TBS
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo na Mifugo imeipongeza TBS kwa kutekeleza majukumu yake ya udhibiti ubora kwa ufanisi.
Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti...
WAZIRI KIKWETE AMJULIA HALI MAMA KARUME, APELEKA SALAMU ZA RAIS SAMIA
WaziriΒ wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. RidhiwaniΒ Kikwete, akizungumzaΒ na Mama Fatuma Karume mara baada...
πππ£ππ‘ππ ππππ£π¨ππππͺπ ππ¨πͺππ¦ππππ¦ππ π ππ¦πͺπππ π¬π π§π¨ππ’ π¬π π§ππππ π¬π π πͺππππ π¨ π‘π¬ππ₯ππ₯π π¬π π¨ππ‘πππ¦ππ ππ¨π‘πππ¨
Na.Mwandishi Wetu
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa,...
FCC YAWAJENGEA UWEZO MAAFISA BIASHARA NCHINI KULINDA WALAJI
Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti wa Bidhaa Bandia wa Tume ya Ushindani (FCC), Bw.Salvatory Chuwa, akiwasilisha mada wakati wa Mkutano wa Maafisa Biashara katika Kikao...
MAAFISA BIASHARA WASISITIZWA KUWA WAWEZESHAJI BIASHARA KUELEKEA DIRA 2050.
Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa BRELA, Prof. Neema Mori amewasisitiza Maafisa Biashara Nchini kuwa wawezeshaji wa wafanyabiashara badala ya kuwa wadhibiti...
TBS YABANA MATUMIZI YA UMEME KWA KUPITIA VIWANGO VIPYA VYA UFANISI
Na Mwandishi Wetu.
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeweka Viwango vya Chini vya Ufanisi wa Nishati (MEPS) kwa vifaa vinavyotumia umeme, hatua inayolenga kupunguza matumizi...
MKINGA YANUFAIKA NA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
πMitungi ya gesi ya kilo sita 3,255 kuuzwa kwa bei ya ruzuku ya Shilingi 17,500
πMkinga, Tanga
Serikali imeendelea kutekeleza kwa vitendo Mkakati wa Taifa wa...













