Sunday, March 23, 2025
Home 2025 February 4

Daily Archives: February 4, 2025

RAIS DKT. SAMIA APOKEA TUZO YA GLOBAL GOALKEEPER KWA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA AFYA

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili na kupokelewa na Viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kwenye uwanja wa...

FCS, SIDO WASAINI MAKUBALIANO YA UBIA KUYAWEZESHA MAKUNDI MAALUM KIUCHUMI

0
Shirika la The Foundation For Civil Society FCS limetia saini makubaliano ya ubia kati yake na Shirika la Viwanda Vidogo (SIDO) kutekeleza mradi wa...

UTENDAJI KAZI KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO WAMKWAZA DKT. BITEKO

0
📌 Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja 📌 Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele 📌 PURA,...

WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO WATAKIWA KUWAFICHUA WAKWEPA KODI

0
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amewataka Wafanyabiashara wa Kariakoo Jijini Dar es Salaam kuwafichua watu wanaokwepa Kodi...

WASIRA:CCM YALETA USAWA WA ELIMU KWA WANAWAKE NA WAVULANA

0
Na Mwaandishi wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Stiven Wasira, amesema chama hicho kimewakomboa wanawake kwa kuhakikisha wanapata elimu sawa na wavulana. Akizungumza...

TANZANIA KUFANYA SENSA YA UZALISHAJI VIWANDA

0
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatarajia kufanya sensa ya uzalishaji viwanda kwa mwaka wa rejea 2023 (census of industrial production 2023) mwezi...

KATIBU MKUU WA WAGANGA TANZANIA AWATAKA WAGANGA KUWA NA LESENI

0
UMOJA Wa Waganga na Wakunga Wa Tiba Asili Tanzania (UWAWATA) umewataka wanachama wake kusajiriwa ili wapate leseni kutoka Wizara ya Afya waweze kuaminiwa na...

WAZIRI CHANA ASISITIZA-AJENDA YA KULINDA WANANCHI DHIDI YA WANYAMAPORI WAKALI NI WAJIBU WETU SOTE

0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali...

BAADA YA KUMALIZA KAZI YA KUPELEKA UMEME VIJIJINI SASA KASI INAHAMIA VITONGOJINI – MHE....

0
📌 Asema upelekaji umeme vitongojini umefikia asilimia 52.3 📌 Asisitiza umeme kufika maeneo ya uchimbaji madini Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kuwa hadi...

DC KWIMBA APONGEZA UJENZI WA SEKONDARI YA DKT SAMIA.

0
Mkuu wa Wilaya ya Halmashauri ya Kwimba ameipongeza Serikali ya awamu ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa juhudi inazochukua katika ujenzi wa...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma February 4, 2025 - Mzawa Online,
Karibu Tukuhudumie..