AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWAZAWADIA WASHINDI WA KAMPENI YA TWENDE KIDIGITAL TUKUVUSHE JANUARI
Na Mwandishi wetu-Dar es salaam
Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni "twende kidigital tukuvushe Januari" na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake...
UWEZO WA MITAMBO YA KUFUA UMEME WAFIKIA MEGAWATI 3,091.71- MHE.KAPINGA
๐ Wateja wapya 109,918 waunganishiwa na huduma ya umeme nchini
๐ Kamati ya Bunge yaipongeza TANESCO kwa kuimarisha Miundombinu ya umeme
Serikali kupitia Shirika la Umeme...
RAIS DKT SAMIA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma leo...
WAZIRI MKUU AMWAKILISHA MHE. RAIS DKT SAMIA KATIKA SHEREHE ZA UAPISHO WA RAIS WA...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Msumbiji Daniel Chapo kwenye makazi ya Rais, Ponta Vermelha, Maputo nchini Msumbiji. Mheshimiwa Majaliwa alimwakilisha Rais...
UZALISHAJI NA UPATIKANAJI WA NISHATI YA UMEME NCHINI YAJADILIWA KATIKA KAMATI YA BUNGE
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga (Mb) ameongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kuwasilisha taarifa utekelezaji wa bajeti ya Wizara kwa Mwaka 2024/2025...
DP WORLD NA ADANI PORTS ZAIMARISHA UFANISI BANDARI YA DAR
Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Abeid Galusi, amesema kuwa maboresho yaliyofanyika katika eneo la kupokea na kupakua mizigo yamesababisha kupungua kwa...
SWEDEN KUSHIRIKIANA NA TRA KUONGEZA UWEKEZAJI
Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mhe.Charlotta Ozaki Macias amesema Nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kuchochea Uwekezaji nchini.
Akizungumza wakati...
ACT WAZALENDO YAANZA MCHAKATO WA WATIANIA KUGOMBEA NAFASI ZA UCHAGUZI 2025.
Chama cha ACT Wazalendo kimefungua rasmi mchakato wa ndani wa wanachama kujitokeza na kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa mwaka...
MAANDALIZI YA MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI AFRIKA (MISSION 300) YAFIKIA ASILIMIA...
๐ Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 kutoka milioni 5.2 ya sasa
๐ Asema Mkutano wa Mission 300 umekuwa kivutio duniani; Taasisi za Kimataifa...
WATANZANIA KUNUFAIKA NA MASHINDANO YA CHAN 2025, AFCON 2027
๐Mashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa
๐Rais Samia kinara wa Michezo nchini
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Watanzania watanufaika na fursa mbalimbali za...













