Saturday, February 15, 2025
Home 2025 January 15

Daily Archives: January 15, 2025

UZALISHAJI NA UPATIKANAJI WA NISHATI YA UMEME NCHINI YAJADILIWA KATIKA KAMATI YA BUNGE

0
Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga (Mb) ameongoza Menejimenti ya Wizara ya Nishati kuwasilisha taarifa utekelezaji wa bajeti ya Wizara kwa Mwaka 2024/2025...

DP WORLD NA ADANI PORTS ZAIMARISHA UFANISI BANDARI YA DAR

0
Kaimu Mkurugenzi wa Bandari ya Dar es Salaam, Abeid Galusi, amesema kuwa maboresho yaliyofanyika katika eneo la kupokea na kupakua mizigo yamesababisha kupungua kwa...

SWEDEN KUSHIRIKIANA NA TRA KUONGEZA UWEKEZAJI

0
Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Mhe.Charlotta Ozaki Macias amesema Nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika kuchochea Uwekezaji nchini. Akizungumza wakati...

ACT WAZALENDO YAANZA MCHAKATO WA WATIANIA KUGOMBEA NAFASI ZA UCHAGUZI 2025.

1
Chama cha ACT Wazalendo kimefungua rasmi mchakato wa ndani wa wanachama kujitokeza na kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa mwaka...

MAANDALIZI YA MKUTANO WA NISHATI WA WAKUU WA NCHI AFRIKA (MISSION 300) YAFIKIA ASILIMIA...

0
๐Ÿ“Œ Watanzania milioni 13.5 kusambaziwa umeme ifikapo 2030 kutoka milioni 5.2 ya sasa ๐Ÿ“Œ Asema Mkutano wa Mission 300 umekuwa kivutio duniani; Taasisi za Kimataifa...

WATANZANIA KUNUFAIKA NA MASHINDANO YA CHAN 2025, AFCON 2027

0
๐Ÿ“ŒMashindano yameipa heshima Tanzania kimataifa ๐Ÿ“ŒRais Samia kinara wa Michezo nchini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Watanzania watanufaika na fursa mbalimbali za...

SHULE YA KWANZA YA GOROFA YA SEKONDARI KUJENGWA KATA YA KIGERA MANISPAA YA MUSOMA

0
Na Shomari Binda-Musoma SHULE ya kwanza ya sekondari ya gorofa itaanza kujengwa hivi karibuni Kata ya Kigera manispaa ya Musoma. Ujenzi huo utaanza baada ya hii...

WATOTO WALIOIBIWA WAKUTWA KWA MGANGA WA KIENYEJI

0
Na Magrethy KatenguDar es salaam Watoto wawili Mahdy Kasim(me) Umri 04 na Husna Kasim(ke) 05 walioibiwa na binti wa kazi za ndani Januari 11, 2025...

CCM MUSOMA MJINI YAMPONGEZA RAIS DKT.SAMIA UTOAJI FIDIA BILIONI 3.9 KWA WANANCHI

0
Na Shomari Binda-Musoma CHAMA cha Mapinduzi( CCM) Wilaya ya Musoma mjini kimempongeza na kumshukuru Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kiasi cha biliini 3.9...

DKT KAZUNGU ATETA NA BALOZI WA TANZANIA ABU DHABI

0
๐Ÿ“Œ Anadi miradi ya nishati kuvutia wawekezaji kutoka Abu Dhabi ๐Ÿ“Œ Ashiriki hafla ya ufunguzi wa Wiki ya uendelezaji Nishati Abu Dhabi na utoaji tuzo...
1
Scan the code
Mzawa Online
Ahsante kwa kusoma January 15, 2025 - Mzawa Online,
Karibu Tukuhudumie..