MUSOMA VIJIJINI WAUNGANA KUPONGEZA AZIMIO LA RAIS SAMIA KUGOMBEA 2025
Na Shomari Binda_Musoma
WANACHAMA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Musoma vijijini wamesafiri hadi Musoma mjini kupongeza azimio la Mkutano Mkuu wa chama hicho...
NGORONGORO WASISITIZWA KUACHA KUTUNZA FEDHA NYUMBANI
Na. Saidina Msangi, WF, Ngorongoro, Arusha.
Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro wametakiwa kutumia huduma rasmi za fedha kutunza fedha zao badala ya kutunza...
KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA SERIKALI UJENZI WA VITUO VIPYA VYA KUJAZIA GESI KWENYE MAGARI...
📌 Kituo mama cha CNG katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuhudumia magari 1,200 kwa siku
📌 Serikali yaendelea kuhamasisha Sekta binafsi ujenzi wa...
SHEIKH ABUBAKAR AMSHUKURU MGORE MIRAJI KUCHANGIA MAENDELEO YA DINI
Na Shomari Binda_Musoma
SHEIKH wa Wilaya ya Musoma Abubakar Mukama amemshukuru Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Jumuiya ya Wazazi Taifa Mgore Miraji kwa kuwa...
RC MTAMBI ACHANGIA UJÌŒENZI MSIKITI WA KIGERA BONDENI NA KUTOA UJUMBE WA UPENDO
Na Shomari Binda_MUSOMA
MKUU wa mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi amesisitiza upendo kwa waumini wa dini ya kiislam na jamii kuwa na ushirikiano.
Kauli hiyo...
WAZIRI MKUU KUZINDUA KANZIDATA NA MFUMO WA TAARIFA ZA WENYE ULEMAVU
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 25 2025 atazindua Kanzidata na Mfumo wa Taarifa za Watu Wenye Ulemavu Unaotokana Matokeo ya Sensa ya Watu...
KARATU WAHAMASISHWA KUSAJILI VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA
Serikali imetoa rai kwa wananchi kuhakikisha kuwa vikundi vya huduma ndogo vya fedha vinavyojulikana kama VICOBA vinasajiliwa kwa mujibu wa Sheria ya Huduma Ndogo...
UORODHESHWAJI WA HATIFUNGANI UTALETA MAFANIKIO KWA WATANZANIA – DKT. MWIGULU
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) (Katikati), akigonga kengele kuashiria kuorodhoreshsa rasmi kwa Hati Fungani ya Benki ya Azania ijulikanayo kama...













