Friday, June 26, 2026
Home 2023 February

Monthly Archives: February 2023

MTOKO WA KIBINGWA WA BETIKA WAENDELEA KUSHIKA KASI

0
MTOKO wa Kibingwa msimu wa tano wa Kampuni ya michezo ya kubashiri ya Betika unaendelea na katika msimu huu Kampuni hiyo inahitaji idadi ya...

WATU WANNE MBARONI KWA TUHUMA ZA KUKUTWA NA NYARA ZA SERIKALI BIHARAMULO

0
Na Theophilida Felician Kagera. Watu wa nne wanashikiriwa na Jeshi la Polisi Mkoani Kagera kwa tuhuma za kukutwa na Nyara za Serikali ambazo ni meno...

RC MWASSA AUNDA KAMATI KUHAKIKI UPIMAJI ARDHI

0
Na Saidi Ibada, Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Fatma mwassa ameunda kamati ya watu 5 ambao watashirikiana na kamishna wa ardhi wa Wilaya...

SERIKALI INAWATHAMINI WAZALISHAJI WA CHUMVI NCHINI: DKT KIRUSWA

0
Kigoma Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amesisitiza kuwa, Serikali inawathamini wazalishaji wa Chumvi hapa nchini ili kuongeza uzalishaji wa chumvi kwa kuhakikisha kuwa...

FCC WATEMBELEA BANDARI YA TANGA, WAJIONEA UWEKEZAJI UNAOFANYIKA

0
Menejimenti ya Tume ya Ushindani nchini ( FCC) ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa FCC Bw. William Erio, imetembelea Bandari ya Tanga kwa lengo la...

WAZIRI BITEKO AONGOZA KIKAO MAANDALIZI YA JUKWAA LA KIMATAIFA LA MADINI

0
Dar Es Salaam Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko ameongoza kikao kati ya Wizara na Kampuni za dmg events na Ocean Business Partners Tanzania ambazo...

Naibu Waziri Kundo Ampongeza Rais Samia Uboreshaji Mazingira ya Tasnia ya Habari

0
Na Innocent Natai, WazoHuru Media-Dodoma Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

MWANDISHI WA HABARI EDWIN SOKO ATEULIWA KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA TMFD

0
Taasisi ya Tanzania Media for Maritime and Fisheries Development (TMFD) inayofanya kazi katika eneo la vyombo vya habari na uvuvi hapa Tanzania imepata Mkurugenzi...

TBS YAWATAKA WASAMBAZAJI WA MAZIWA MBADALA YA WATOTO KUHAKIKISHA WANASAJILIWA

0
Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka ,Waagizaji na Wasambazaji wa Maziwa mbadala ya watoto wachanga na wadogo kuhakikisha bidhaa hizo zinasajiliwa kwa...

MPANGO WA SHULE BORA WAWEZESHA UANDIKISHAJI WATOTO 2,640 RUKWA

0
Na. Revocatus Kassimba, Rukwa Shule Bora ni programu ya elimu inayolenga kuinua ubora wa elimu jumuishi inayotolewa kwenye mazingira salama ya kujifunzia kwa wasichana na...