Tanzania iko tayari kuwapokea na kuwahudumia wawekezaji na wafanyabiashara
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amesema Tanzania iko tayari kuwapokea na kuwahudumia wawekezaji na wafanyabiashara kutoka Umoja wa Ulaya...
Tanzania na China Kuendeleza Uhusiano wa Kibiashara
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya watu wa China zimeahidi kuendeleza uhusiano wa kibiashara baina ya nchi hizo kwa kuzingatia...
WAZIRI MKUU AAGIZA RCs, DCs, VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAHIMIZE KILIMO CHA CHIKICHI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na viongozi wa vyama vya siasa watumie majukwaa waliyonayo kuhimiza kilimo cha michikichi...
S4C YA BETIKA YAENDELEA KUSHIKA KASI, COCO BEACH
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
Mashindano ya Sodo 4 Climate (S4C) ya Kampuni ya Michezo ya Kubashiri ya Betika kwa kushirikiana na Taasisi ya...
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO FEBRUARI 26, 2023
Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku, leo Februari 26, 2023









