BUNGENI: BILIONI 16.5 ZIMETENGWA KUKARABATI HOSPITALI KONGWE – DKT. DUGANGE
OR TAMISEMI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo J. Dugange(Mb) amesema Serikali imetenga fedha shilingi bilioni 16.5 kufanya ukarabati wa hospitali 19...
TBS YAITAKA JAMII NA WAANDAAJI WA CHAKULA KUZINGATIA USALAMA WA CHAKULA
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka Waandaji wa vyakula katika maeneo mbalimbali nchini pamoja na wananchi kwa ujumla kuhakikisha usalama wa chakula wanachokiandaa ili...
PROF MDOE AIPONGEZA TAASISI YA TEKNOLOJIA DAR ES SALAAM MRADI WA EASTRIP
Na Mwandishi Wetu.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. James Mdoe ameipongeza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kwa kutekeleza...






