Serikali imedhamiria kutekeleza Mradi wa Liganga na Mchuchuma kwa Manufaa ya Taifa.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.)ameihakikishia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira kuwa Serikali imedhamiria...
WAZIRI MKUU AZINDUA NYARAKA ZA USIMAMIZI WA MAAFA
*Asisitiza wanaohusika na usimamizi wa maafa watekeleze majukumu yao ipasavyo*
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka sekta zote zinazohusika na utekelezaji wa shughuli za usimamizi wa...
DKT. BITEKO AZINDUA KAMATI MPYA YA TEITI
Aitaka Kamati kuleta matokeo chanya katika usimamizi wa rasilimali madini, mafuta na gesi asilia
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amezindua Kamati ya tano ya...
Mhe. Mchengerwa awataka madiwani kutanguliza mbele maslahi ya Wananchi
Na John Mapepele
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, MNEC wa Mkoa wa Pwani na Mbunge wa Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa amewataka madiwani wa Rufiji...
MELI YA MV MWANZA HAPA KAZI TU KUSHUSHWA NDANI YA ZIWA ILI KUENDELEA NA...
Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Huduma za Meli, Eric Hamissi amesema, Meli ya Mv Mwanza Hapa ujenzi wake umefikia asilimia 82 hadi kukamilka kwake...
KONGAMANO LA KUTOKOMEZA MILA POTOFU KUFANYIKA MKOANI TANGA
Na Boniface Gideon, TANGA
Kongamano la kutokomeza maadili potofu kwa hasa rika la watoto litakalohusisha madhehebu mbalimbali linatatajiwa kufanyika jumamosi hii katika viwanja vya Pongwe...









