DC MWENDA KUANZISHA MASHINDANI YA MPIRA WA MIGUU IRAMBA
Na WazoHuru Media, Iramba
Ili kuwakutanisha vijana pamoja kwa ajili ya kuimarisha afya zao, kutambua vipaji na kuviendeleza Wilaya ya Iramba imejipanga kuanza mashindano ya...
WAFANYABIASHARA KATIKA MASOKO YA HALMASHAURI YA KINONDONI WAKUMBANA NA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU MIBOVU
Na Magrethy Katengu
Wafanyabishara wa Masoko ya Kigogo, Magomeni na Makumbusho katika Manispaa ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam wameiomba Serikali kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwemo...
FANYA MIAMALA NA TIGO PESA UIBUKE MSHINDI WA GARI JIPYA , PESA TASLIMU NA...
Baadhi ya washindi pesa taslimu katika droo ya saba ya Kampeni ya Ndinga la Kishua katika picha ya pamoja.
Meneja wa Wateja Maalum Tigo Pesa...
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YARIDHISHWA NA UJENZI WA CHANZO KIPYA CHA MAJI BUTIMBA
Kamati ya kudumu ya bunge kilimo,mifugo na maji ikiongozwa na makamu mwenyekiti mhe Almas Maige wametembelea chanzo kipya cha uzalishaji maji Butimba ambacho kinatarajia...
KANUNI ZA USHIRIKISHWAJI WA WATANZANIA ZALETA MABADILIKO MAKUBWA
Asilimia 96 ya watanzania waajiriwa kwenye migodi, manunuzi ya ndani yafikia asilimia 92, huduma za jamii zaboreshwa
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya...
KOROGWE YATOA MILIONI 97 KWA VIKUNDI 16
Na Boniface Gideon, TANGA
HALMASHAURI ya Mji Korogwe (Korogwe TC) mkoani Tanga imetoa mikopo yenye thamani ya sh. milioni 97 kwa vikundi 16 kwa mwaka...
Lg WAFUNGUA MWAKA 2023 KWA KISHINDO , WABAINISHA MIKAKATI IKIWEMO UVUMBUZI WA KUBORESHA MAISHA...
Mkakati huo unajumuisha uvumbuzi unaolenga mahitaji ya wateja kujenga maisha bora kwa wote, na kujali mazingira.
Mkurugenzi Mtendaji bwana Cho, katika ‘LG World...
RC CHALAMILA: UWEKEZAJI WA MIRADI MIKUBWA YA KIMKAKATI KAGERA KUKWAMUA MKOA KUTOKA KWENYE UMASIKINI
Theophilida FeFelicia, Kagera
Mkuu wa Mkoa Kagera Mhe Albert Chalamila amesema kuwa juhudi mbalimbali zinazofanya na Serikali chini ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassani...
MIRADI 215 YASAJILIWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI ZANZIBAR-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa wa Mheshimiwa Rais wa awamu ya nane wa Zanzibar na Mwenyekiti...
TAKUKURU PWANI WAJA NA MKAKATI MPYA KWA MWAKA 2023
Na Magreth Mbinga
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU Mkoa wa Pwani inashukuru Wananchi wa Mkoa huo kwa kuipatia ushirikianao kwa kipindi cha...













