MWAKA 2023 VIJANA WASHAURIWA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA NA SERIKALI
NA MAGRETHY KATENGU
Ikiwa Leo Dunia inasherekea mwaka mpya 2023 Vijana wote nchini wameshauriwa kuanza mwaka kwa kishindo kuchangamkia fursa zinazotolewa na Serikali ikiwemo kuomba...
WANANCHI WAOMBWA KUENDELEA KULIOMBEA TAIFA
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene ameomba wananchi kuendelea kuiombea nchi dhidi ya majanga...
WATANZANIA WATAKIWA KUENDELEA KUDUMISHA AMANI HUSUSANI KWA KUTENDA HAKI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.Philip Mpango pamoja na mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 1 Januari 2023 wameungana...
MAJALIWA AWAKUMBUKA MAKATIBU CCM KATA RUANGWA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi ambaye ni Mbunge wa jimbo la Ruangwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana Disemba 31, 2022...
RC KATAVI AWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA MAJIMOTO MAZINGIRA WEZESHI
Na:OMM- Katavi
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe.Mwanamvua Hoza Mrindoko amewahakikishia Wafanyabiashara wa kuchakata Mazao katika eneo la Majimoto Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe kuwa...
IBRAHIM MAFIA KUZICHAPA LEO NA JUMA FUNDI KUWANIA MKANDA TPBRC.
Na Boniface Gideon, TANGA
BONDIA Ibrahim Mafia wa Jijini Tanga aliye chini ya usimamizi wa kampuni ya Mafia Boxing Promotion Leo anatarajiwa kupanda ulingoni kuwania...









