RAIS SAMIA ATENGUA VIONGOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya utenguzi wa Viongozi mbalimbali katika nafasi zao leo tarehe 24/01/2023 ambapo...
KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA WIZARA YA UTAMADUNI KWA MAGEUZI YENYE TIJA
Na Shamimu Nyaki
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma, na Maendeleo ya Jamii inayoongozwa na Mwenyekiti Stanslaus Nyongo ambaye ni Mbunge wa Maswa Mashariki,...
TBS WAFANYA MKUTANO HUU MKUBWA NA WAUZAJI , WAINGIZAJI NA WASAMBAZAJI WA BIDHAA ZA...
Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania ( TBS ) Dkt. Candida Shirima akizungumza wakati wa Ufunguzi wa Mkutano Maalum na Wadau ambao ni Wazalishaji...
VIONGOZI WA CCM KUANZIA NGAZI YA SHINA WASHAURIWA KUSHIRIKIANA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
Na Magrethy Katengu
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ilala Said Sidde amewashauri Viongozi wa Jimbo la Ukonga kuanzia ngazi ya Shina ikiwemo...







