Utekelezaji wa mradi wa maji Mugango-Kiabakari umezingatia viwango – Kamati ya Bunge
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imetembelea mradi wa maji wa Mugango, Kiabakari, Butiama na kuridhishwa na maendeleo ya utekelezaji wa Mradi...
DC MWENDA KUANZISHA MASHINDANI YA MPIRA WA MIGUU IRAMBA
Na WazoHuru Media, Iramba
Ili kuwakutanisha vijana pamoja kwa ajili ya kuimarisha afya zao, kutambua vipaji na kuviendeleza Wilaya ya Iramba imejipanga kuanza mashindano ya...
WAFANYABIASHARA KATIKA MASOKO YA HALMASHAURI YA KINONDONI WAKUMBANA NA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU MIBOVU
Na Magrethy Katengu
Wafanyabishara wa Masoko ya Kigogo, Magomeni na Makumbusho katika Manispaa ya Kinondoni Mkoani Dar es salaam wameiomba Serikali kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwemo...






