YANGA SC YAADHIBIWA VIKALI NA WTANI WAO WA JADI SIMBA SC
KLABU ya wekundu wa msimbazi Simba SC imewaadhibu watani wao wa jadi Yanga SC mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC mchezo...
WAZIRI MKUU: SERIKALI IMETOA MIKOPO YA SH. BILIONI 1.88 KWA VIJANA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 1.88 kwa ajili ya kuwezesha...
WANAJESHI KAMBI YA KABOYA KAGERA WAFUNGUKA KUHUSU UGONJWA WA MARBURG
Na. Elimu ya Afya kwa Umma .
Katika jitihada za Serikali za kuhakikisha kila jamii inafikiwa na elimu kuhusu tahadhari na kujikinga dhidi ya ugonjwa wa Marburg baada...
DKT. MPANGO AMETOA WITO KWA WATANZANIA KUACHA TABIA YA KUTUPA TAKA OVYO KATIKA MAENEO...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa watanzania kuacha tabia ya kutupa taka ovyo katika...
UCHUMI WA TANZANIA WAPAA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA – IMF
* Pato la Taifa lafikia Sh. trilioni 200 kwa mwaka 2023 kutoka Sh. trilioni 163 ya mwaka 2021
* Uchumi wa Tanzania sasa ni mkubwa...
SHEREHE ZA MUUNGANO ZIFANYIKE KATIKA NGAZI YA MIKOA-RAIS DKT. SAMIA
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza maadhimisho sherehe za miaka 59 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yafanyike katika ngazi ya mikoa kwa kufanya...









