Saturday, June 27, 2026
Home 2022 June

Monthly Archives: June 2022

SERIKALI INATATUA CHANGAMOTO ZA VIWANDA VYA KATANI

0
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt .Ashatu Kijaji (Mb.) amesema Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutatua changamoto mbalimbali zinazovikabili viwanda vya...

MSHINDI WA TIGO CHEMSHA BONGO AKABIDHIWA MILIONI 10

0
Na Mwandishi Wetu. Kampuni namba moja nchini Tanzania kwa Utoaji wa huduma za Kidigitali Tigo , Imekabidhi Hundi ya Milioni 10 kwa Mshindi wa Tigo...

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA CRDB WAWEKEANA SAINI UANZISHWAJI WA DAYASPOLA DIGITAL APP

0
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa kushirikiana na benki ya CRDB PLC wamefanya zoezi la utiajai saini hati ya...

CHUO CHA MAJI KUPIMA SAMPULI YA MAJI BURE KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM

0
Katika kuadhimisha wiki ya Utumishi wa Umma iliyoanza tarehe 16/06/2022 hadi 23/06/2022, Chuo cha Maji kimeamua kurudisha huduma kwa jamii kwa kufanya zoezi la...

Dkt. Mpango, Dkt. Mwinyi na Majaliwa Zanzibar

0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi alipokutana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

Tembo Warriors Wanga’ra Tena Ulaya

0
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed Mchengerwa amesema mchezaji wa timu ya Walemavu ya Tanzania ya Tembo Warriors Alfan Athuman Kiyanga aliibuka...

NAIBU WAZIRI MASANJA AKUTANA NA UJUMBE WA BARAZA LA MADIWANI LA WILAYA YA USHETU

0
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) amekutana na Ujumbe wa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu la...

NAPE ASISITIZA ULINZI WA MTOTO DHIDI YA MATUMIZI YA TEHAMA

0
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye ametoa rai kwa jamii ya kitanzania kumlinda mtoto dhidi ya matumizi ya intanenti...

HAKIELIMU YATOA MAPENDEKEZO KATIKA BAJETI YA SERIKALI KWENYE SEKTA YA ELIMU

0
Taasisi ya hakielimu imesema ni wakati sahihi kama taifa kutumia lugha ya kiswahili kama lugha ya kufundishia inaweza kuandaa watoto kutumia kiswahili. Hayo yamezungumzwa na...

TRC HAINA MGOGORO WA KIMALIPO NA KAMPUNI YA EUROWAGON DAR ES SALAAM

0
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeendela kusisitiza kwamba halina mgogoro wa kimalipo na kampuni ya Eurowagon ya nchini Uturuki ambayo ilipewa zabuni ya kutengeneza...