WASHINDI 51 WA NMB MASTA BATA WAONDOKA NA MAMILIONI
Na Boniface Gideon, TANGA
Droo ya mwisho wa Malipo ya Kidijitali na Matumizi ya NMB Mastercard na NMB QR ya Masta Bata kote kote inayoendeshwa...
SERIKALI IMEANZA KUWACHUKULIA HATUA WAFANYABIASHARA WA KEMIKALI ZA KUCHENJUA DHAHABU WASIOTENDA HAKI
#Biteko awataka wafanyabiashara wa kemikali za kuchenjua madini kuuza kwa kufuata bei elekezi
Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amesema kuwa, Serikali imeanza kuchukua hatua...
WANAFUNZI MSINGI TANGA WAJENGEWA UWEZO SAYANSI KILIMO JANJA.
Na Boniface Gideon, TANGA
WANAFUNZI kutoka Shule Mbalimbali za Msingi Jiji la Tanga wamejengewa Uwezo juu ya Sayansi ya Kilimo Cha Kisasa Maarufu kama Kilimo...
WANAFUNZI WA VYUO NCHINI WATAKIWA KUWA MSTARI WA MBELE KATIKA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI MBALIMBALI
Wanafunzi wa vyuo nchini wametakiwa kuendelea kuwa mstari wa mbele katika utekezaji wa shughuli mbalimbali za kuhifadhi na kulinda mazingira ili kupambana na mabadiliko...
SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA MBOLEA
Serikali imehimiza matumizi ya mbolea kwa wananchi wa Kijiji cha Mlali Iyegu kilichopo Kata ya Mlali katika Wilaya ya Kongwa Mkoa wa Dodoma ili...
BIMA YA AFYA KWA WOTE ITAWEZESHA WANANCHI KUWA NA UHURU
Na.Faustine Gimu,Wizara ya Afya,Idara ya Kinga,Sehemu ya Elimu ya Afya Kwa Umma
Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Wizara ya Afya , Idara ya Kinga ,Sehemu ya Elimu...
WAZIRI MKUU ATOA AGIZO KWA VIONGOZI WA HALMASHAURI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa Halmashauri zote nchini waweke mpango wa namna bora ya kuviwezesha vikundi vya wajasiriamali katika maeneo yao kupitia...
RAIS DKT. SAMIA ATEUA GAVANA MPYA WA BENKI KUU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Emmanuel Mpawe Tutuba, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango kuwa Gavana...
WADAU NA WAFANYAKAZI WA BANDARI YA BUKOBA WAIPONGEZA TAKUKURU KAGERA KUWAFIKISHIA ELIMU DHIDI YA...
Na Theophilida Felician, Kagera
Wafanyakazi pamoja na wa dau mbalimbali katika bandari ya Bukoba Mkoani Kagera wameishukuru na kuipongeza Taasisi ya kuzuia na kupambana na...
RC CHALAMILA AKIFIKIA KIWANDA CHA CHAI CHA KAGERA TEA COMPANY LTD WAKULIMA WATUA KILIO...
Na Theophilida Felician Kagera.
Wakulima katika Kijiji cha Ibaraizibo kata Karabagaine Halmashauri ya Bukoba Mkoani Kagera wamekilalamikia kiwanda cha chai Kagera TEA LTD kwakushidwa kutimiza...













