Home Kitaifa RAIS DK.MWINYI AENDELEA NA ZIARA MKOANI MJINI MAGHARIBI

RAIS DK.MWINYI AENDELEA NA ZIARA MKOANI MJINI MAGHARIBI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa araza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wavuvi, wakulima wa mwani pamoja na Wananchi mara baada ya kukabidhi vifaa vya Uvuvi akiwa katika ziara ya Wilaya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Bibi.Bimkuwa Nassor (kulia) mwakilishi wa kikundi cha wakulima wa Mwani “SUBIRA NZURI” mara baada ya kukabidhi vifaa vya Uvuvi pamoja na boti za kupakilia mwani akiwa katika ziara ya Wilaya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here
Captcha verification failed!
CAPTCHA user score failed. Please contact us!