Friday, May 1, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

WAZIRI SANGU AHIMIZA DIASPORA KUCHANGIA KIKAMILIFU MAENDELEO YA TAIFA

0
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu akizungumza na Viongozi wa Watanzania wanaoishi nchini Saudi...

JAMII YAASWA KUTOWAFICHA WAGONJWA WA UKOMA

0
Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viashiria vya ugonjwa huo...

TBS WAWAFIKIA WANANCHI WA DODOMA , WAWAPA ELIMU MADHARA YA MATUMIZI HOLELA YA POMBE.

0
Na Mwandishi Wetu. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Dodoma kuhusu madhara ya matumizi holela ya pombe, likilenga kuzuia...

WAZIRI KAPINGA:AJIRA MAELFU ZIMEZALISHWA KUPITIA VIWANDA NA BIASHARA SIKU 100 ZA SAMIA

0
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga,akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 24,2026 katika Mji wa Kiserikali Mtumba jijini Dodoma kuhusu mafanikio...

SUDAN KUSINI YAOMBA USHIRIKIANO WA KIFORODHA NA TRA ILI KUTUMIA BANDARI ZA TANGA NA...

0
Mamlaka ya Mapato ya Sudan Kusini (SSRA) imeomba ushirikiano wa kiforodha na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) utakaoiwezesha kutumia Bandari za Tanga na Dar...

GSM GROUP YAENDELEZA KONGANI YA VIWANDA

0
Mradi wa Kilimanjaro Industrial Park umeendelea kuonyesha mchango mkubwa katika kukuza sekta ya viwanda na utoaji wa ajira, ambapo ukikamilika unatarajiwa kutoa ajira hadi...

NISHATI SAFI YA KUPIKIA YAPIGA HODI SIMANJIRO.

0
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) leo, Jumatano tarehe 21 Januari, 2026, umeendelea na usambazaji na uuzaji wa mitungi ya gesi ya kilo sita kwa...

MAKAMPUNI 300 KUUNGANISHWA NA MFUMO WA “IDRAS”

0
Na Magrethy Katengu MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema zaidi ya makampuni 300 yataunganishwa na mfumo wa kisasa wa usimamizi wa kodi za ndani ujulikanao...

SERIKALI YAITAKA CBE MOSHI KUZALISHA WATAALAMU WENYE UWEZO WA KUTATUA CHANGAMOTO ZA SEKTA YA...

0
Serikali imekitaka Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuelekeza nguvu katika kuzalisha wataalamu wabunifu, wenye ujuzi wa hali ya juu na uwezo wa kutatua...

MKURUGENZI MKUU REA AWAFUNDA WAHANDISI WA MIKOA

0
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mha. Hassan Saidy amewaelekeza Wasimamizi wa Miradi wa Mikoa kuhakikisha wanaimarisha Mawasiliano na Ushirikiano na wadau...