Home 2026
Yearly Archives: 2026
THTU YATAKA UTAFITI UBADILISHWE KUWA MAPATO NA AJIRA
Na Mwandishi Wetu, DODOMA
Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU) kimeitaka Serikali kuweka mfumo madhubuti wa kubadilisha tafiti na ubunifu...
WATAALAMU WA AFYA HANDENI MJI WAPIGA KAMBI MITAANI KUELIMISHA JAMII
Na Augusta Njoji
Timu ya wataalamu wa afya kutoka Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni imeanza rasmi mpango wa utoaji elimu kwa jamii ili kuimarisha...
TCDC, BOT WAKINGIANA VIFUA
Timu ya Mpira wa miguu TCDC Sports Club imeonyeshana ubabe na Timu ya Mpira wa miguu ya Benki Kuu ya Tanzania (BOT) baada ya...
TCDC SPORTS CLUB YASHIRIKI MASHINDANO YA POOLTABLE
Katika kuelekea Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani ( Meimosi) ambayo kitaifa inafanyika mkoani Njombe, Timu ya Pooltable ya TCDC Sports Club imeshiriki mashindando...
TCDC YASHIRIKI MASHINDANO YA RIADHA
Wanamichezo wa TCDC Sports Club wameshiriki mashindano ya riadha (mbio) katika Michezo ya kitaifa Meimosi inayoendelea mkoani Njombe.
Wachezaji walioshiririki mbio hizo ni Mbaso John...
WANAWAKE WAONGOZA MABADILIKO YA TAIFA
Jukwaa la wanawake viongozi nchini, Women in Leadership Forum (WLF), limejitambulisha rasmi kwa umma likieleza dhamira yake ya kuunganisha wanawake walio katika nafasi za...
POMBE FEKI TISHIO KWA KIZAZI CHA SASA NA KIJACHO: LOMATAN YAJA NA SULUHU
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Lomatan, Loveness Edwin Mamuya amewaongoza Watanzania katika kampeni ya kupiga vita pombe feki na haramu, akisisitiza kuwa unywaji wa...
WAZIRI KAPINGA AWASIHI WAWEKEZAJI WAZAWA KUCHANGAMKIA FURSA SEKTA YA VIWANDA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amewataka wawekezaji wazawa nchini kuchangamkia fursa katika sekta ya viwanda, akisisitiza kuwa serikali ya Awamu ya Sita...
WANANCHI CHUNYA KUNUFAIKA NA MRADI WA MAJIKO BANIFU KWA BEI YA RUZUKU.
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chunya ambaye pia ni Mwanasheria Mkuu wa halmashauri hiyo, Wakili Athumani Bamba leo Aprili 24, 2026 amezindua...
RATIBA BORA ZA MASOMO ZATAJWA MSINGI WA WATAALAMU WENYE UJUZI
Mwenyekiti Mtendaji wa Jukwaa la Waratibu wa Ratiba za Elimu na Mafunzo Tanzania, ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dkt....













