Home 2026
Yearly Archives: 2026
NKASI YAJENGEWA UWEZO MASUALA YA MENEJIMENTI YA MAAFA
Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imewajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Wataalamu ya Usimamizi...
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo mwani korosho na...
UJUMBE WA WIZARA WATEMBELEA NCHINI RWANDA.
Ujumbe kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Zanzibar, Ofisi ya Waziri...
SERIKALI YAONDOA URASIMU KUKUZA UWEKEZAJI VIWANDA VYA DAWA
Serikali ya Tanzania imetangaza kuondoa urasimu ili kuharakisha uwekezaji katika viwanda vya dawa nchini kupitia mkakati mpya wa kuhimiza maendeleo ya sekta hiyo ya...
AFYA MSINGI WA MAENDELEO YA UCHUMI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Seif Shekalaghe, amesema afya ni nguzo muhimu ya maendeleo ya kiuchumi ya taifa, akisisitiza kuwa wananchi wenye...
MIKATABA YA TRILIONI 1.2 YASAINIWA NA REA KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 9,009 NCHINI.
Na Deborah Lemmubi-Dodoma.
Waziri wa Nishati Mhe Deogratius Ndejembi amesema kuwa upatikanaji wa Umeme kwa Watanzania wote ni agenda ya Kitaifa na ya kimkakati na...
KAMATI YA BUNGE YAZIPONGEZA NDC, TBS, BRELA na TIRDO KWA UTOAJI HUDUMA BORA KWA...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imepongeza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC), Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Wakala...
TBS WATOA ELIMU YA VIWANGO, MAONESHO YA 12 YA BIASHARA KIMATAIFA ZANZIBAR
Na Mwandishi Wetu.
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu kuhusu masuala ya viwango kwa wananchi na wajasiriamali wanaotembelea Maonesho ya 12 ya Biashara...
MKUU WA WILAYA KISARAWE AWAONYA WAKANDARASI KUACHA UZEMBE KATIKA UJENZI
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe. Petro Magoti, amewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi ya serikali kuacha uzembe na kufanya kazi kwa kuzingatia mikataba na viwango...
WAZIRI KAPINGA ASISITIZA TATHMINI ZA MARA KWA MARA KATIKA TAASISI ZA WIZARA
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesisitiza umuhimu wa taasisi zilizo chini ya Wizara yake kufanya tathmini za mara kwa mara kama njia...













