Tuesday, July 14, 2026
Home 2026

Yearly Archives: 2026

SERIKALI YASISITIZA UHURU WA KUKOSOA SI MATUSI

0
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Juma Homera amesema watu wanaoitukana Serikali, kufanya uchochezi na vitendo visivyo vya maadili mitandaoni, majina yao yameshakabidhiwa kwa...

SHIRIKI TBS ” VIWANGO MARATHON ” MEI , 23 KUCHANGIA VIFAA KWENYE HOSPITALI ZENYE...

0
 Na Mwandishi Wetu. SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeandaa mbio za marathon zijulikanazo kama ‘Viwango Marathon’ ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 tangu...

NAIBU WAZIRI NISHATI AITAKA TANESCO KUIMARISHA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI

0
📌 Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka 2026 wa Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO
📌 Asisitiza utoaji wa taarifa sahihi kwa wateja
📌 Aagiza kuboreshwa...

DKT. MAGHEMBE AZINDUA KONGAMANO LA TIMUN 2026 ZANZIBAR

0
NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ngwaru Jumanne Maghembe amesisitiza umuhimu wa vijana katika kuleta maendeleo endelevu na mabadiliko...

CHIWELESA ATOA MILIONI TANO KUFANIKISHA KAMBI YA UMISETA BIHARAMULO

0
Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi, Ezra Chiwelesa, ametimiza ahadi ya kutoa shilingi milioni tano kwa ajili ya kufanikisha kambi ya michezo ya UMISETA...

LONDO ATAKA USHIRIKIANO KUIMARISHA STAKABADHI ZA GHALA

0
Wadau wote wanaohusika na Mfumo wa Stakabadhi za Ghala nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Miaka 20 ya Mfumo huo na kutumia fursa...

TUZO ZA KARIAKOO BUSINESS AWARDS KUCHOCHEA UKUAJI WA BIASHARA

0
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SERIKALI imesema itaendelea kuboresha mazingira ya biashara nchini ili kuhakikisha wafanyabiashara wa Kariakoo wanakuwa na ushindani wa kikanda na...

DKT. MWIGULU AWAHAKIKISHIA WANANCHI KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI.

0
▪️ Asema utekelezaji wa Bwawa la Farkwa kuanza baada ya kukamilika kwa taratibu za manunuzi ▪️ Aagiza kukomeshwa kwa ukamataji usio na msingi wa vitendea...

WAFANYABIASHARA WA MADINI NZEGA WASEMA MASOKO YA MADINI YAMEBORESHA BIASHARA

0
Na Boniface Gideon, TABORA Uongozi wa Soko la Madini Nzega mkoani Tabora umesema kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini kumeongeza uwazi, usalama na ufanisi wa...

DKT. MWIGULU ASISITIZA KUKAMILIKA KWA MRADI WA MAJI CHEMBA

0
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Mji wa Chemba unakamilika kwa wakati ili kuongeza...