Home 2026
Yearly Archives: 2026
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAONGEZA NGUVU ELIMU YA UFUNDI STADI KUCHOCHEA UCHUMI
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), CPA Anthony Kasore akizungumza na waandishi wa habari kuhusu miradi ya maendeleo...
FCC YAITANGAZA TANZANIA KAMA KITOVU CHA BIASHARA NA USAFIRISHAJI AFRIKA MASHARIKI
Kaimu Mkurugenzi Mkuu FCC Bi. Khadija Ngasongwa,akitoa maelezo namna FCC inavyoshirikiana na wafanyabiashara wa sekta ya usafirishaji wa mizigo (logistics) katika kuongeza thamani kwenye...
DKT. MKILIA : KUTOTEKELEZA MATAKWA YA PDPA NI HATARI KWA FARAGHA , USALAMA NA...
Na Mwandishi Wetu.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) Dkt. Emmanuel Lameck Mkilia amesema kuwa kutotekeleza matakwa ya Sheria ya Ulinzi...
MHE. JAJI ROSE EBRAHIM: KUJUA HAKI YAKO KUNAPUNGUZA GHARAMA
KIGOMA
Baraza la Ushindani(FCT), moja ya taasisi zilizo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara, imeendesha kikao cha kuwajengea uwezo watumiaji wa huduma, wadau na...
BAHATI YAWAANGUKIA WAWILI, WASHINDA BODABODA DROO YA PIGABET
Watanzania wawili wamejishindia bodaboda mbili katika droo ya promosheni ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ya PigaBet iliyochezeshwa leo jijini Dar es Salaam, ikiwa...
ICU MPYA HANDENI MJI KUPUNGUZA SAFARI YA KILOMITA 160 KUTAFUTA HUDUMA ZA DHARURA
Na mwandishi wetu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju amesema mradi wa jengo la wagonjwa Mahututi katika Hospitali ya Halmashauri hiyo litakapokamilika litaondoa...
TBS WAZIDI KUTAMBULIWA KIMATAIFA , WAZIRI KAPINGA AJIVUNIA NA KUWAPONGEZA.
Na Mwandishi Wetu.
Leo Februari 13, 2026, Shirika la Viwango Tanzania TBS limekabidhiwa cheti cha ithibati ya umahiri wa mfumo wa ukaguzi kwa kiwango cha kimataifa (ISO/IEC...
WAZIRI KIKWETE:ZINGATIENI MAADILI YA UTENDAJI, DHAMANA YENU NI KUBWA KWA MASLAHI MAPANA YA TAIFA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wanataaluma ya Menejimenti ya Taarifa,...
TBS WASHIRIKI MAONESHO YA BAIOTEKNOLOJIA COSTECH DAR ES SALAAM .
Na Mwandishi Wetu.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeshiriki katika Maonesho ya Baioteknolojia yaliyofanyika katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH),...
WATEJA 11940 KUUNGANISHWA NA UMEME MKOANI MARA
Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Kanali Evans Mtambi amezitaka Kamati za Ulinzi na Usalama pamoja na Wananchi kuhakikisha wanalinda miundombinu ya umeme pamoja...













