DG RUWASA AWAELEKEZA MAMENEJA WA MIKOA NA WILAYA KUZISHIRIKISHA CBWSOs KATIKA PROGRAMU ZOTE
Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mha. Wolta Kirita, amesisitiza umuhimu wa kushirikisha Vyombo vya Utoaji wa Huduma...
UHAMIAJI: WAENDESHA VYOMBO VINAVYOVUKA MIPAKA WATAKIWA KUWAFIKISHA RAIA WA KIKEGENI WASIOJULIKANA KATIKA VITUO HUSIKA
Na Magrethy Katengu--Dar es salaam
Kamishna wa Uhamiaji wa Kitengo cha Usimamizi na Udhibiti wa Mipaka, CI Fakin Nyakunga, amewataka waendesha vyombo vya moto vinavyovuka...
SERIKALI YAENDELEA KUSOGEZA ELIMU YA FURSA ZA MITAJI KWA WANANCHI RUKWA
Mafunzo ya utoaji wa elimu kuhusu fursa za mitaji kupitia mifuko na programu mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi yanaendelea kufanyika katika Manispaa ya Sumbawanga,...
PROF.NOMBO ATOA MAAGIZO MATANO KUIFANYA ELIMU IENDANE NA MAHITAJI YA TAIFA
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati akifungua kikao cha mwaka cha Menejimenti ya Wizara ya Elimu, Sayansi...








