NAIBU WAZIRI NISHATI AITAKA TANESCO KUIMARISHA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA MIFUMO YA KIDIGITALI
📌 Afungua Mkutano Mkuu wa Mwaka 2026 wa Maafisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO
📌 Asisitiza utoaji wa taarifa sahihi kwa wateja
📌 Aagiza kuboreshwa...
DKT. MAGHEMBE AZINDUA KONGAMANO LA TIMUN 2026 ZANZIBAR
NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ngwaru Jumanne Maghembe amesisitiza umuhimu wa vijana katika kuleta maendeleo endelevu na mabadiliko...
CHIWELESA ATOA MILIONI TANO KUFANIKISHA KAMBI YA UMISETA BIHARAMULO
Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi, Ezra Chiwelesa, ametimiza ahadi ya kutoa shilingi milioni tano kwa ajili ya kufanikisha kambi ya michezo ya UMISETA...
LONDO ATAKA USHIRIKIANO KUIMARISHA STAKABADHI ZA GHALA
Wadau wote wanaohusika na Mfumo wa Stakabadhi za Ghala nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Miaka 20 ya Mfumo huo na kutumia fursa...
TUZO ZA KARIAKOO BUSINESS AWARDS KUCHOCHEA UKUAJI WA BIASHARA
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SERIKALI imesema itaendelea kuboresha mazingira ya biashara nchini ili kuhakikisha wafanyabiashara wa Kariakoo wanakuwa na ushindani wa kikanda na...
DKT. MWIGULU AWAHAKIKISHIA WANANCHI KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI.
▪️ Asema utekelezaji wa Bwawa la Farkwa kuanza baada ya kukamilika kwa taratibu za manunuzi
▪️ Aagiza kukomeshwa kwa ukamataji usio na msingi wa vitendea...
WAFANYABIASHARA WA MADINI NZEGA WASEMA MASOKO YA MADINI YAMEBORESHA BIASHARA
Na Boniface Gideon, TABORA
Uongozi wa Soko la Madini Nzega mkoani Tabora umesema kuanzishwa kwa masoko ya madini nchini kumeongeza uwazi, usalama na ufanisi wa...
DKT. MWIGULU ASISITIZA KUKAMILIKA KWA MRADI WA MAJI CHEMBA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuhakikisha Mradi wa Maji wa Miji 28 katika Mji wa Chemba unakamilika kwa wakati ili kuongeza...
BWENI YATWAA UBINGWA AWESO VIJANA CUP
Na Boniface Gideon, PANGANI
Timu kutoka Kata ya Bweni ya wilaya ya Pangani imefanikiwa kuibuka mshindi wa mashindano ya Aweso Vijana Cup kwa ushindi wa...
CCM TUTAFANYA MARIDHIANO NA WENYE NIA NJEMA – WASIRA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kabla ya kuanza kwa mchakato wa maridhiano ya kisiasa, ni vyema kuwabaini...













