DKT. MAGHEMBE AZINDUA KONGAMANO LA TIMUN 2026 ZANZIBAR
NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Ngwaru Jumanne Maghembe amesisitiza umuhimu wa vijana katika kuleta maendeleo endelevu na mabadiliko...
CHIWELESA ATOA MILIONI TANO KUFANIKISHA KAMBI YA UMISETA BIHARAMULO
Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi, Ezra Chiwelesa, ametimiza ahadi ya kutoa shilingi milioni tano kwa ajili ya kufanikisha kambi ya michezo ya UMISETA...
LONDO ATAKA USHIRIKIANO KUIMARISHA STAKABADHI ZA GHALA
Wadau wote wanaohusika na Mfumo wa Stakabadhi za Ghala nchini wametakiwa kushiriki kikamilifu katika Maadhimisho ya Miaka 20 ya Mfumo huo na kutumia fursa...
TUZO ZA KARIAKOO BUSINESS AWARDS KUCHOCHEA UKUAJI WA BIASHARA
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
SERIKALI imesema itaendelea kuboresha mazingira ya biashara nchini ili kuhakikisha wafanyabiashara wa Kariakoo wanakuwa na ushindani wa kikanda na...







