MBUNGE ASHA MOTO AIPONGEZA SERIKALI-UWEKEZAJI GESI ASILIA
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mtwara, Mhe. Asha Moto, amepongeza Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Mhe.Rais Dkt. Samia Suluhu...
USHIRIKIANO WA GCLA NA DCEA UMEONGEZA UFANISI WA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kuthibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Aretas Lyimo (Katikati), akiwa na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi, Evaclotida Kapinga...
BOT YAJA NA SHERIA MPYA KUDHIBITI FEDHA ZA KIDIGITALI, KUWALINDA WAWEKEZAJI
Na Magrethy Katengu --Dar es Salaam,
Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema ipo katika hatua za mwisho za kuandaa sheria na kanuni zitakazosimamia matumizi ya...
AJIRA MPYA NI MOJAWAPO YA VIPAUMBELE VYA SERIKALI KUWEZESHA WANANCHI KUPATA HUDUMA BORA
Na. Veronica Mwafisi-Uyui
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Rais wa Jamhuri ya...
DKT. MLIMUKA AIPONGEZA FCC KWA MAPAMBANO DHIDI YA BIDHAA BANDIA
Mwenyekiti wa Tume ya Ushindani (FCC) akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa FCC wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 50 ya...
CHANJO ZA TVLA NI BORA NA ZINA MATOKEO CHANYA – RAS TANGA
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Kassim Mchatta, amesema chanjo zinazozalishwa na Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) zimeendelea kuthibitisha ubora...
WAZIRI SANGU NA MWENYEKITI AL MANSOUR HOLDING WATETA MASUALA YA UWEKEZAJI, AJIRA NA MAENDELEO...
Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amekutana na kufanya mazungumzo...
TASAF AWAMU YA III YAJA, VIONGOZI ZINGATIENI VIGEZO VYA KUWAPATA WALENGWA KUEPUSHA MALALAMIKO YALIYOJITOKEZA...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wananchi kuhusu Mfuko wa Maendeleo...
TIArb YATOA ELIMU YA USULUHISHI SABASABA
Taasisi ya Usuluhishi wa Migogoro ya Kibiashara kwa Njia Mbadala Tanzania (TIArb) imewataka wananchi, wafanyabiashara na wawekezaji kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50...
WAZIRI MKUU MGENI RASMI UZINDUZI WA KITABU CHA “MAMA SAMIA DOCTRINE OF LAW”
Na Magrethy Katengu-Dar es Salaam
Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania, TPBA, kimetangaza rasmi uzinduzi wa kitabu kipya cha “Falsafa ya Sheria ya Mama Samia”...













