Thursday, April 16, 2026
Home 2026 March

Monthly Archives: March 2026

KIGOMA YAPATA MSHINDI WA PIKIPIKI

0
Mjasiriamali Daniel Deogratus Sambo, mkazi wa Kigoma Mjini, ameibuka mshindi wa pikipiki aina ya TVS kupitia promosheni ya “Shinda Boda”. Akizungumza baada ya kupokea zawadi...

EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWANOA VIONGOZI WA WILAYA YA KOROGWE

0
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa...

SHEIKH MKUU WA TANZANIA AWAHAMASISHA WANAWAKE KUMILIKI ARDHI BAADA YA KUPATA HATI SAMIA ARDHI...

0
Dar es salaam – Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kutumia fursa ya huduma za ardhi...

RC SENYAMULE AIPA KONGOLE WIZARA YA ARDHI KUANZISHA SAMIA ARDHI KLINIKI

0
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kuendesha zoezi la Samia Ardhi Kliniki...

Wanawake wa TPSC Watoa Misaada Gereza la Segerea Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

0
Wanawake wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Dar es Salam  wametembelea Gereza la Segerea na kutoa misaada mbalimbali kwa wafungwa, ikiwa ni...

UJUMBE RASMI WA MAADHIMISHO YA SIKU YA KIMATAIFA YA WANYAMAPORI – 2026

0
Kauli Mbiu ya Mwaka 2026: “Medicinal and Aromatic Plants and Their Contribution to Human Welfare: The Way Forward for Sustainable Use” (“Mimea ya Dawa na Harufu...

BRELA KUIMARISHA URASIMISHAJI NA MIFUMO YA KIDIJITALI

0
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), yatakiwa kuongeza kasi ya urasimishaji wa biashara na kuimarisha mifumo ya kidijitali ili kuchochea ufanisi na...

JUKWAA LA UWEZESHAJI WANAWAKE HANDENI MJI KUZINDULIWA MACHI 5

0
Na Mwandishi Wetu KATIKA kuelekea kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni imejipanga kutekeleza shughuli mbalimbali ikiwamo uzinduzi wa Jukwaa...

MHE.WANU AKITAKA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI MZENGA KUTOA MAFUNZO YANAYOENDANA NA UCHUMI WA...

0
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, ameutaka uongozi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mzenga, kilichopo Kata ya Mzenga,...

FCC YAIMARISHA ULINZI WA MLAJI NA USHINDANI WA HAKI

0
Tume ya Ushindani (FCC) imetangaza mkakati wa kuendelea kutoa elimu kwa umma kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za Mlaji Duniani, kwa...