KAMATI YA BUNGE YAAGIZA UDHIBITI WA USAHIHI WA VIPIMO UONGEZEWE NGUVU
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeiagiza Wakala wa Vipimo (WMA) kuongeza nguvu katika kudhibiti usahihi wa vipimo ili...
WANAFUNZI WATAKIWA KUFICHUA VITENDO VYA UKATILI
Na Hadija Dachi
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Makambi iliyopo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kufichua vitendo vya ukatili na udhalilishaji watakavyobaini kutokea shuleni...
FCC YASISITIZA ULINZI WA WALAJI KWENYE MIKATABA YA UPANDE MMOJA
Na Mwandishi Wetu
Dar es Salaam, Machi 10, 2026. Tume ya Ushindani (FCC) imesema itaendelea kusimamia kwa karibu haki za walaji kwa taasisi na kampuni...
DKT. MUYUNGI ASISITIZA KASI UJENZI WA JENGO LA OMR, MTUMBA DODOMA
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi akipata maelezo kuhusu hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa mradi wa jengo la ofisi hiyo...







