Home 2024
Yearly Archives: 2024
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiwe na Miradi yake Binafsi
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi mkoani Mwanza Marco Lushinge maarufu kwa jina la Smart amesema anatamani kuona jumuiya za chama hicho mkoani humo zinajitegemea...
KATIBU MKUU WA CCM BALOZI DKT. EMMANUEL NCHIMBI APOKELEWA PWANI KWA MKUTANO WA KIKAZI
NA SCOLASTICA MSEWA, KIBAHAKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema viongozi wa chama hicho wanatakiwa kufanana na Chama chao...
TANROADS YAREJESHA MAWASILIANO YA BARABARA YA KUNDUCHI MTONGANI NDANI YA MASAA 48
Na Magrethy Katengu
Tanroad imefany jitihada za haraka kurejesha mawasiliano barabara ya Kunduchi Mtongani ndani ya masaa 48 baada ya Daraja la Tegeta kingo zake...
RC MTANDA ATOA TAHADHARI KWA WATAKAOENDELEZA KILIMO CHA BANGI WILAYANI TARIME
OPARESHENI KALI KUENDELEA
Na Shomari Binda-Tarime
MKUU wa Mkoa wa Mara Said Mtanda ametoa tahadhari kwa wananchi watakaoendeleza kilimo cha zao haramu la bangi wilayani Tarime.
Akizungumza...
RAIS KUFANYA ZIARA YA KIKAZI INDONESIA, VATICAN, NA NORWAY
Na Magrethy Katengu
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara katika Nchi za Indonesia, Vatican na Norway ikiwa...
MAJALIWA AHUDHURIA MKUTANO WA G77 NA CHINA, KAMPALA, UGANDA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Januari 21, 2024 amehudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la G77na China uliofanyika jijini Kampala...
MAKONDA AMEBAINISHA UWEPO WA HOSPITAL YA RAIS SAMIA WILYANI MUHEZA ITATATUA CHANGAMOTO YA HUDMA...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa , Itikadi,Uenezi na Mafunzo Paul Makonda amewabainishia Wananchi wa Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga...
MAKONDA AMTAKA MKUU WA MKOA TANGA AWACHUKULIE SHERIA WATUMISHI WAZEMBE
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa , Itikadi,Uenezi na Mafunzo Paul Makonda amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Tanga pindi anapoubaini...
Serikali yaahidi kuendelea kurejesha hali katika miundombinu ya barabara iliyoathirika na Mvua
Na Mwandishi wetu
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Mhe, Ummy Nderiananga amepongeza Kamati ya Maafa ya Mkoa wa...
MBUNGE MATHAYO KUBEBA DHAMANA YA MKOPO WA PIKIPIKI 160 KWA BODABODA JIMBO LA MUSOMA...
-KUANZA NA MILIONI 24 AWAMU YA KWANZA
Na Shomari Binda-Musoma
KATIKA kuendelea kuwawezesha vijana kiuchumi mbunge wa jimbo la Musoma mjini amekuja na mpango wa kuwawezesha...













