Saturday, June 27, 2026
Home 2022 June

Monthly Archives: June 2022

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUFANYA ZIARA MAALUM MKOA WA ARUSHA NA TANGA LEO

0
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Juni 23, 2022 atafanya ziara ya siku moja katika mkoa wa Arusha na Tanga ambapo atashuhudia zoezi la awamu...

MAKAMU WA RAIS OTHMAN AZINDUA TAMASHA LA ZIFF2022

0
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), itatengeneza na kusimamia Sera ya Filamu...

RC MAKALLA: WAKANDARASI WA TAKA, MAWAKALA NA WATUMISHI 19 JIJI LA DSM WATAKIWA KUREJESHA...

0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ametoa muda wa siku 60 kwa Wakandarasi wa taka, Wakala wa ukusanyaji mapato na...

MAAFISA UGANI MANISPAA YA KIGAMBONI WAJENGEWA UWEZO UTEKELEZAJI KIPINDI CHA II MPANGO WA TASAF

0
TASAF wameanza mafunzo ya siku tatu ya kuwajengea maafisa Ugani kuhusu uendeshaji wa Warsha za jamii,ufanisi wa malipo,masharti ya elimu/afya na majukumu ya kamati...

SERIKALI YAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA, ELIMU NA AFYA – MSOMERA HANDENI

0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amesema Serikali imetenga na kupeleka shilingi miliomi 503.4...

OFISI YA WAZIRI MKUU YASHIRIKI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

0
Watumishi wa ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu waaswa kuendelea kufuata maadili ya utumishi wa Umma kwa kufanya kazi vizuri na kuwa...

WABUNGE VINARA WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUKEMEA VITENDO VYA UKATILI

0
Katibu wa Wabunge  vinara wa Ustawi wa Jamii Mhe.Justine Nyamoga amesema wapo tayari kushirikiana na Serikali kukemea vitendo vya ukatili kwenye jamii.Mhe. Nyamoga ameyasema...

TUNAFUATILIA MWENENDO WA UWEPO WA TEMBO KATA YA MKIWA NA MISUGHAA

0
Tumeendelea kupokea na kufuatilia mwenendo wa taarifa za uwepo wa TEMBO katika maeneo ya kata za Mkiwa na Misughaa wilaya ya Ikungi Ofisi ya mkuu...

RC MALIMA ATOA MASAA 24 KWA WATENDAJI WANAOSIMAMIA HUDUMA ZA KIJAMII, MSOMERA

0
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima ametoa saa 24 kwa watendaji wanaosimamia miundombinu ya huduma za kijamii na sekta ya mifugo kwa wananchi...

SADIO MANE ATUA UJERUMANI

0
Msenegali Sadio Mane tayari ametua nchini Ujerumani kufanyiwa vipimo vya afya kwa ajili ya kukamilisha dili la kujiunga na klabu ya Bayern Munich akitokea...